Kuna mfalme wa wafalme leo hii yuko wapi anaangalia hatma yake ya akhera kiburi na maneno ya ufedhuli ni nguvu za punzi unazovuta na kukudanganya kama vile hutofika mbele ya haki
Pumbaf mwenyewo mipaka walipanga wàkoloni kwa manufaa yao kama hutambui tafuta historia ni kweli ukanda wote wa pwani ulikuwa uko chini ya himaya ya zanzibar mombasa wamelipa fidia kurudi katika himaya ya kenya
Serikali tatu hazikwepeki kero za mungano zimeshinda kutatuliwa kwa miaka 50 sasa,tatazo tanganyika imevaa koti la mungano na kuonekana mungano unafaida kwa tanganyika tu, ukichukulia bunge la mungano wabunge wa zanzibar hawana kazi shuhuli zote zinahusu tanganyika ila wasuburi mpaka bajeti kwa...
Mfumo gani Zanzibar wanautaka wataamua wenyewe na sio kuwapangia kama watoto wadogo,wenyewe wapo watakavyoona inafaa ndivyo watavyoamua mambo ya kuwapangia uwazir mkuu hayo ni mawazo potofu. Tambueni katika vichwa vyeni serikali zikiwa. Mbili,tatu ,tano saba jueni kwamba SMZ itakuwa kama ilivyo...
Kwa vile Mzanzibar kila zengwe atazushiwa na hata yeye inawezekana elimu yake inawalakini mwawacheni mh afanye kazi aliyotumwa elimu sio lazima uitwe profesa
SERIKALI TATU(3). Na hao chanel ten kama tv ya ccm waweke wazi hio midahalo yao kuhusu rasimu ya katiba hutafuta wakereketwa na kufanya nao mdahalo, kama wako wazi juu ya suala hilo watafute muakilishi anaepana serikali 1,2,3 na ambao hawautaki haswa hapo mdahalo wenu utakuwa balance
Hata Tanganyika yaweza kuwa kama somalia tu musiione Zanzibar Nchi zote za kiafrika zimejaa njaa na lolote linaweza kutokea kuitakia mabaya zanzibar ni fikra za kijinga wimbo wa taifa wa tanganyika unahimiza amani Afrika kwa ujumlaMungu ibariki Afrika ukimuoneshea kidole mwenzio basi jua...
Serikali TATU (3) ndio suluhisho la kero za mungano zilizokuwa hazitatuki na zilizokuwa zimedumu miaka 50 ila chama chetu ni waoga kwa hilo na wanapower ya kuwasemea wananchi mawazo yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.