Recent content by kg1

  1. kg1

    Unakula lakini huhisi kushiba

    Jamani kuna mtu wakati naongea naye amenishtua kidogo pale aliponambia kwamba; anashangaa kila akimaliza kula anahisi kama hajashiba. Kiukweli binafsi sijawahi kusikia kitu cha aina hiyo, sasa nikaona niwaletee hapa wadau pengine kuna mtu ana experience au umahili wa jambo hili ambalo ningependa...
  2. kg1

    Pengo ana kadi ya CCM? Si mbaya. Je, anayofanya na kusema ni kwa manufaa ya nani? Anawafarakanisha Wakatoliki

    Wewe Gudume...ni mchonganishi na una dalili za uchonganishi tafadhali acha ya Kaisali yawe ya kaisali na ya MUNGU yawe ya MUNGU; usijaribu kutumia uwelewa wako mdogo wa neno la Mungu kuwapotosha wengi wenue uwezo sawa na wako; Kimsingi sisi watumishi tunafanya kazi ya Mungu kwa kutii kwanza...
  3. kg1

    Pengo ana kadi ya CCM? Si mbaya. Je, anayofanya na kusema ni kwa manufaa ya nani? Anawafarakanisha Wakatoliki

    Wewe Gudume...ni mchonganishi na una dalili za uchonganishi tafadhali acha ya Kaisali yawe ya kaisali na ya MUNGU yawe ya MUNGU; usijaribu kutumia uwelewa wako mdogo wa neno la Mungu kuwapotosha wengi wenue uwezo sawa na wako; Kimsingi sisi watumishi tunafanya kazi ya Mungu kwa kutii kwanza...
  4. kg1

    Tetesi: Afrika Kusini: Rais Magufuli adaiwa kutunukiwa Tuzo ya Amani ya Mandela (Mandela Peace Prize)

    Mh...jamani acheni ...watu wenye nia njema, watafiti na wadau wenye sayansi ya siasa they never deal with comedy politics like that you know; only facts are there to be scruitinized for real data!
  5. kg1

    Huyu Muhindi wa aliyekamatwa na hizi fedha aliishia wapi?

    Atakuwa anamumumu....
  6. kg1

    Dodoma: Yaliyojiri kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)

    SIYO KWELI, CCM wana vitegauchumi vingi hawategemei hata cent ya wana nchi!
  7. kg1

    Dodoma: Yaliyojiri kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)

    Acha uongo asee... Wengi wa hawa jamaa wa kanda ya ziwa hasa kutoka Mara wako vizuri sana kiakili; wapime katika level yoyote ya elimu wanakosoma. Pia ni wachapa kazi mimi nimewaajiri 10 kwenye kiwanda changu aseee wanachapa kazi balaa! Utasikia tu arooo...muraaa...harooo...huku kazi kwa kwenda...
  8. kg1

    Phone & computer tricks

    Mmm...mkuu hebu nijuze tu kwa ufupi!
  9. kg1

    Phone & computer tricks

    Nn matumizi ya Task maneger na faida zake mkuu?
  10. kg1

    Ushauri: Kila nikirudi nyumbani nakuta msichana wa kazi anaangalia 'porn'

    [Afanye nini sasa na hasa kama hajui madhara yake baadae]
  11. kg1

    Enough is enough, Magufuli amelisababishia taifa hili hasara ya kutosha kwa maamuzi ya kibabe!

    Haaaaama nchi! Sent using Jamii Forums mobile app
  12. kg1

    Historia fupi ya deni la Stirling Civil Engineering Ltd

    Endeleeni kupiga ngoma na kuimba wenyewe sisi; kazi ni kucheza tu mpaka mkome awamu hii na bado kazuieni na meri zisitie nanga bahari ya Dar! Sent using Jamii Forums mobile app
  13. kg1

    Kilichofanywa na shule ya mbunge wa CCM (St. Anne Marie- Mbezi kwa Msuguri) ni wizi wa fedha za wazazi

    Kwa uwezo wako mdogo wa kimtizamo; Nakushauri umhamishie mwanao kwenye shule ya mbunge wa UKAWA! Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom