Na hizo hela zilienda wapi?
Mbona hutaki lowasa aguswe ni baba yako mzazi?Lowassa sijui aliwapaga nini utafikili mnawashwa washwa kumuongelea.
Haya tuonyeshe huyo muhindi Wa Lowasa maana hiyo picha tuliambiwa ni Wa Membe.Mbona hutaki lowasa aguswe ni baba yako mzazi?
Mimi niliambiwa ni wa LowasaHaya tuonyeshe huyo muhindi Wa Lowasa maana hiyo picha tuliambiwa ni Wa Membe.
Atakuwa anamumumu....Mbona hutaki lowasa aguswe ni baba yako mzazi?
OK uko sahihi.Mimi niliambiwa ni wa Lowasa
Huyu Muhindi wa Lowassa alienda wapi Na hizo hela zilienda wapi?
mlisikia vibaya hii ni ishu ilikuwa ya wana ccm wenyewe kugombania urais wakawa wanachafuanaMimi niliambiwa ni wa Lowasa
OK uko sahihi.