Recent content by kfudu

  1. kfudu

    Samsung Galaxy S5 Unlock

    wakuu nina galaxy S5 hapa inatumia T-mobile ya US nauliza kwa yeyote anayeweza anaweza kuUnlock au kama unajua website au software Ya kuUnlock nitumie kwa mitandao ya Tanzania. kama kuna mtu anweza tuwasiliana au Ni PM 0756669331 Thanks..............................................
  2. kfudu

    Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

    Upande wa pili wa shilingi! Kwa mara ya kwanza tangu ahusishwe na skendo ya ubakaji wa shemejiye mwenye umri wa miaka 17, mume wa mwimbaji wa Injili nchini, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha ameibuka na kuzungumza na Uwazi katika mahojiano maalum dhidi ya kashfa yake hiyo huku akitishia kujiua...
  3. kfudu

    Sakata la Mbasha: Kanisa la Ufufuo na Uzima Tunasema...

    KWELI DUNIA HADAA.... FLORA MBASHA KUMBE UMEMFANYIA HIVI MUMEO!!!!! Upande wa pili wa shilingi! Kwa mara ya kwanza tangu ahusishwe na skendo ya ubakaji wa shemejiye mwenye umri wa miaka 17, mume wa mwimbaji wa Injili nchini, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha ameibuka na kuzungumza na Uwazi...
  4. kfudu

    Mini Laptop For Sale

    Ni laki NNE tu
  5. kfudu

    Mini Laptop For Sale

    Ni used lakini kipo kwenye hali nzuri. Brand Toshiba Item Weight 2.1 Kg Product Dimensions 30 x 29.8 x 10 cm Item model number PLL10E-013030EN Screen Size 8.9 inches Processor Type Atom N270 Processor Speed 1.6 GHz RAM Size 1 GB Hard Drive Size 120 GB...
  6. kfudu

    Kaniomba Pete ya uchumba ndani ya siku 10

    alisema ananipenda
  7. kfudu

    Kaniomba Pete ya uchumba ndani ya siku 10

    cha kushangaza Anita eti mm Mme wake Mara mpenzi Ongea na mdogo wangu Mara wanakusalimia ndani ya siku kumi dah! nimechoka gafula
  8. kfudu

    Kaniomba Pete ya uchumba ndani ya siku 10

    Kuna msichana mmoja nimefamiana nae kama siku kumi lakini jana kaniuliza swali moja, Je unanipenda nikamjibu ndiyo kwa kusita then kaniambia naomba univisheshe pete ya uchumba nilishuka sana. Nikamuliza mbona mapema wanajamiiii naombeni ushauri NB: sijawai kumwita baby, mpenzi wala, hua...
Back
Top Bottom