Recent content by Keyboard Warrior

  1. Keyboard Warrior

    JamiiForums Tanzania Serikali kuanza kuwatambua wateja wa ATCL kwa lengo la kuwapatia huduma za ziada

    Naona serikali inataka ijibu mapigo kwa wale wanaosema, wananchi wanafaidika nini na hizo ndege...
  2. Keyboard Warrior

    JamiiForums Tanzania Uteuzi: Rais Magufuli amteua Mzee Cleopa David Msuya kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU)

    A chancellor's position is largely a ceremonial role, so no biggie
  3. Keyboard Warrior

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete alimtuma Membe kwa Mwalimu Nyerere, Sehemu ya Pili (2)

    I wonder what's your endgame with these stories...
  4. Keyboard Warrior

    JamiiForums Tanzania Kompyuta Ofisi ya DPP zenye kesi za Uhujumu Uchumi zaibwa

    Kwa matukio yanavyotokea, am starting to think the gov didn't have a hand in this. Ila the verdict is still out, let's wait and see...
  5. Keyboard Warrior

    JamiiForums Tanzania Wazazi wa Kitanzania jifunzeni kutoka kwa Profesa Sarungi na Rais Mstaafu Karume

    Its all a facade, maria aliplay a role kwenye kumleta magufuli madarakani, and probably she'll play the same role again uchaguzi ujao ukija. So msiwaamini kivile... Fatma looks authentic enough that's why it's costing her.
  6. Keyboard Warrior

    JamiiForums Tanzania Mzee Lowassa: Kwa sasa nchi imeshika adabu na mambo yanakwenda vizuri. Bado tuna tatizo la ajira nchini...

    Amerudi chamani now, what else is he gonna say.
  7. Keyboard Warrior

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Samia Suluhu: Mimi ni namba 2 Tanzania, sina cha kunishawishi kuwania namba 3

    Ni kweli, hata siku kukiwa na msafara wa viongozi angalia plate number. Rais - E1 Makamu wa Rais - E2 Rais wa Zanzibar - E3 Waziri Mkuu - E4
  8. Keyboard Warrior

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni changamoto gani, ngumu kuliko zote, ulishawahi pitia kwenye mahusiano? Uliitatuaje? Na je bado uko na huyo mtu mpaka sasa?

    Kwenye mahusiano huwa kuna changamoto mbalimbali, hakuna mahusiano yasiyokuwa na changamoto. Ila wakati mwingine mtu unaweza ukapitia changamoto mpaka akili ikakukaa sawa. So ni changamoto gani ulishawahi pitia kwenye mahusiano, uliitatuaje? Na je uko na huyo mtu mpaka sasa? Share experience...
  9. Keyboard Warrior

    JamiiForums Tanzania Je, January Makamba ni Lowasa mwingine in the making?

    Elewa mada kwanza, siko hapa kujadili kuhusu influence ya January. He's good at mobilizing the media, lakini he's not influential.
  10. Keyboard Warrior

    JamiiForums Tanzania Je, January Makamba ni Lowasa mwingine in the making?

    Hujaelewa mada, ndo maana nikasema sizungumzii influence. Bali nazungumzia ambition tu.
  11. Keyboard Warrior

    JamiiForums Tanzania Je, January Makamba ni Lowasa mwingine in the making?

    Magufuli kuwa president kumeharibu sana succession line ya CCM, kwa hiyo wale wote ambao defacto ni first and second in line (Membe & January) kusuceed to the president's chair, hawatakuwa katika new succession line. That's a fact. Kwahiyo January kuja kuwa president ni sawa na ngamia kupenya...
  12. Keyboard Warrior

    JamiiForums Tanzania Je, January Makamba ni Lowasa mwingine in the making?

    Si zungumzii kiutendaji Si zungumzii kuhusu influence Bali nazungumzia ambition, kati ya the most ambitious politicians waliewahi kutokea in the past 2 decades tunaweza kusema ni Lowasa, lakini unfortunately hajaweza kushika the top office in the country pamoja na jitihada zote. Tukija kwa...
  13. Keyboard Warrior

    JamiiForums Tanzania Hussein Bashe na kisa cha watumwa wawili

    Hao kinana na makamba, sio kwamba wako righteous. Bali wana hasira, hasira za kutolipwa fadhila. Hata nape nae hivyo hivyo. Uchungu wao ni kwamba wametengwa, na hawako high table sasa hivi wakila mema ya nchi. Believe me hao wote wangekuwa hightable sasa hivi wanakula mema ya nchi, hakuna hata...
  14. Keyboard Warrior

    JamiiForums Tanzania Tanzania hatuko serious kama huyu ndo mnasema kuwa awe Rais ajaye

    Mara mia Mwigulu kuliko January...
Back
Top Bottom