Ubovu wa gari unatokana na matumizi mabaya na kukosa service kwa wakati.
Sijui unaishi wapi lakoni kwa hapa Dar es Salaam spea zipo na zinapatikana kwa bei ya kawaida sana.
Nimeitumia kwa miaka kadhaa na haina shida kabisa!
Gari ipo Kigamboni Dar es Salaam. Ipo katika hali nzuri sana!
Make: TOYOTA ISIS
MWAKA: 2008
CC: 1798
SEATS: 7
DRIVE: AUTOMATIC, 2WD
Kama kutahitajika service basi zitakuwa ni spares ndogongogo za kkawaida.
Mawasiliano: WHATSAPP: 0785872256
BEI: 9,500,000
RRONDO,
Naomba kujua gari ya Toyota Isis ya mwaka 2008 Engine Oil ipi ni nzuri kwa ajili ya kuifanyia service? Halafu matairi yake ni 195/65/R15 kiasi gani cha upepo ni sahihi kwa magurudumu haya (tubeless)?
Sifikirii kabisa kuweka spacer kwa sababu nasikia inaweza kuwababisha gari kupoteza balans yake hivyo uwezekano wa kupata ajali ukiwa kasi ni unaongezeka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.