Recent content by key.aaaa

  1. K

    Mkurugenzi wa jiji la Arusha umepotoka

    watatuuwa sasa....binafsi cjafurahishwa na hichi kitendo coz nimetoka kwa mrombo naelekea stand ndogo daladala ikaniacha kilombero naambiwa ndio utaratibu mpya watu mjin kati turuke rege ( tutembee kwa miguu)
  2. K

    Soma hapa Kitabu cha January Makamba na Tanzania Mpya

    kweli yupo vzr ki fikra but mara nying huwa wanamambo mazur lkn njoo kwenye utekelezaji sasa..........!!!! majangaaa
  3. K

    Nini kifuatacho kesho jijini Arusha

    kaz zinaendelea leo wanabeba abiria kama kawa..
  4. K

    TANESCO mnatuibia!

    imefikia 6,730 kwa mwezi
  5. K

    Hotel ya bei ndogo Arusha

    sasa jaman umekosewa kitu gan mpaka umuwambe mwenzio tusi!!?
  6. K

    Hotel ya bei ndogo Arusha

    atakuwa anaishi mitaa ya shauri moyo huyo c bure!
  7. K

    Aliyepoteza huu Mzigo tafadhali anitafute haraka

    kudanganyana mwisho mara moja
  8. K

    Msaada: Kusafiri kutoka Tanzania hadi Ghana-Border kwa border

    na minyooo yake itakuwa na mapembe kama yako
  9. K

    Msaada: Kusafiri kutoka Tanzania hadi Ghana-Border kwa border

    hahahaaaa umenifurahisha sana but ndio hivyo kinga ni bora kuliko tiba....afadhal umejihami mapema ucje ukakumbwa na hii dhahama ya kuambiwa una minyoooo
  10. K

    Vijana tuchangamke kabla jua halijazama

    asante mkuu kwa ushauri wenye tija
  11. K

    Vijana tuchangamke kabla jua halijazama

    na Mungu atusaidie kuyakumbuka haya maneno yako...ulichokisema kinaukweli %100
  12. K

    Usidanganywe kupeleka madawa ya kulevya miji hii

    point nzur but namna ya uandishi ndio noma
  13. K

    Usidanganywe kupeleka madawa ya kulevya miji hii

    mkuu msamehe bure,, usije ukapata kes ya mauwaji bureee!!! message sent
  14. K

    Jamani msichana ana matusi

    akili za kuambiwa changanya naza kwako... ndio msemo wa sasa na aliyesema mda c mrefu tutamuita muhenga
Back
Top Bottom