UKO SAHIHI, nyumba mbili nilizonazo hapa mjini pesa niliyotumia kujengea ningesema niwekeze naona ningekua mbali sana, NI Jana tuu nmetoka kuwaza na kusema SITAKAA NIJENGE TENA! hizi nilizonazo zinanitosha kwasasa nafocus na kutengeneza mzunguko WA pesa zaidi
Kampeni za kuchangishana zimekua nyingi sana, wakiwa wazima mpaka wanajirekodi wakilawitiana, sasahivi ni kutia huruma tuu, watu maarufu wanapenda sana kuchangiwa na walala hoi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.