Binafsi Mimi nilikua mpenzi sana wakusikiliza JAHAZI hasa segment ya Mastory ya town kipindi kibonde akiwepo, kibonde alipofariki ndio nikaacha kabisa, Sasa Gardner nae kaenda, kile kipindi kina PENGO KUBWA
Mzee Bado yupo, Tena kakaa sawa kabisa, kama ulikua unaombea afe umekwama, na inawezekana wewe ndio mchawi wetu, nmeamini jf Kuna maskini mbwa aisee wanawaza sana ujinga
Kwenye pitapita zangu insta nikakutaja na hii video, nmeona wengi sana wanamsifia, vipi Kuna anaemjua huyu mwamba?? Tupeane connection kama ni uhakika kama wanavyomsifu au vipi.
Na nmesikia Kuna mwamba MWINGINE anaitwa SOKWE, naskia naye ni fundi balaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.