Sasa elfu tano kwa mwezi ni nyingi, mbona uko nje mnatoa +10000 na hamlalamiki. Mwalimu hapo kajitolea masaa ya ziada ili watoto wenu wapate kujua vitu mapema mnalalamika. Huo muda mwalimu ilibidi awe na familia yake, embu fikirieni tena.
Elimu ni bure kwa masaa ya kazi, likizo ni ziada kwaiyo wasione wanaonewa, wasipende kulalamika kila kitu cha muhimu ni kushukuru kwa walimu kukubali kujitolea masaa ya ziada. Kwenye shule mnalalamika ila nje uko mnatoa fedha, kwanini? Muhimu ni kushukuru maana muda wa likizo mwalimu huwa...
Asimuache, waande kwa daktari wapate ushauri wanaweza wakaishi pamoja na huyo brother asiambukizwe. Maana mgonjwa ambae ametumia dawa kwa muda mrefu virusi wake huwa dhoofu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.