Habari zenu!
Nimevamiwa na hao wadudu aina kunguni, kwa anayefahamu wapi naweza kupata dawa ya kuwaondoa kabisa au njia yoyote ya kuwaondoa wadudu hao ntashukuru.
Asante.
habari zenu! Nimevamiwa na hao wadudu aina kunguni, kwa anayefahamu wapi naweza kupata dawa ya kuwaondoa kabisa au njia yoyote ya kuwaondoa wadudu hao ntashukuru.
Nina tatizo la kutokwa na jasho mikononi na kwenye miguu yaani napata shida sana hasa nikiwa kwenye msongamano Wa watu mfano kwenye daladala au nyakati mchana kukiwa na jua Kali.
Sasa swali langu huu ni ugonjwa? Na kama ni ugonjwa tiba yake ni dawa gani maana kwangu ni kero. Msaada Tafadhali.
Habari wana jf, Mimi ni member wa humu ndani muda kidogo lakini huwa nasoma tu michango na matukio ya watu ambayo hupitia katika maisha yao na kuamua kushare na watu ili wapate angalau uahauri au mawazo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.