Ana nn hii hawa haki na sheria muhimu sana tii utaratibu zilizowekwa ana usharoobaro tupu hanajipya Bunda Tu nataka kazi sio maneno na majungu ya ukawa
Dkt.lucas Webiro mzaliwa wa Bunda akuwa kiongozi pekee chadema asiyenamakundi amekuwa msaada kwa watu wa bunda matatizo ya ardhi hasa eneo la Kawaga lenye vijiji kumi kadokodo ya Seregeti amekuwa msaada mkubwa Bunda anasaidia watoto kupitia mfuko wa lea mtoto founfation amesaidia uchimbaji wa...
Mh.Dkt.lucas webiro- jimbo la Bunda Mjini Babu wasira hagombei tena ubunge anakwenda kwenye urais jimbo kasha kabithi Ukawa kwa kamanda Dkt.lucas webiro eka ya bonda
Akiwa safari mkoani kangera alihojiwa na mwandishi wa habari juzi mahojiano;
Mwandishi mh.unaitwa nani?
Mh.mm naitwa Dkt.lucas webiro PhD
Mwandishi.umejiunga lini na chama.
Mh.nimejiunga tarehe14/03/1998
Mwandishi wa habari je umekifanyia nn chama chako.
Mh.nimekitetea sana hasa kwenye shughuli...
Wakati ccm wilaya ya bunda wa kiendelea na kikao cha ndani hapa mjini wa hofi kukutana simba Mh.Dkt.lucas webiro waanza taratibu za kuwa mamawakala wa kuthibiti wafuasi wake hapa kila anayetoka nje hili jimbo ni la Dkt.lucas webiro hata sisi tunamuunga mkono hatutaki wachumia tumbo,watu wa...
Mh.Wasira alihudhuria kikao hicho cha wazee na kupa nafasi Mh.Dkt.Webiro kuwa kiongozi wa ukoo kwa watu wa Bunda , na kila wakati zilisikika nyimbo za asili eka ibukile wibeze Mh.Webira eka yetu maana yake huyu ni simba kaeni mbali acha ongoze ni wetu na ni wa kwetu Mungu msaidie.
Webiro ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.