Kwa mkatholic Ndoa ni Sankranti ya makubaliano ya watu wawili mtu mme na mke kuishishi pamoja mpaka mpaka Mungu awatenganisha hiyo wito si lazima wala si kutafuta funga toa sadaka ya kweli na kusali ktk roho na kweli c lacima uolewe unaweza ukawa mtawa au ukajitolea kutumikia Mungu inge kuwa...
Ni tatizo ngani inawapelekea wawe wanachukia baadhi watu pindi wanapokuwa na mimba na wakijifungua tu wanakuwa sawa anaweza chukia ata ndg yake mme wake au mtu yeyote laini hali iyo inakuwa tofauti kwa mimba tofauti wanaoelewa niambieni
Acha ubanguzi wa ukabila ,kidini, kiumbo ,kielimu, Rejea 1kor13:1-13 Hakuna mkatolic anayetafuta Mme/Mme mtandaoni mbali kufunga kusali na kuomba Ebu kabla hujatoka kanisani Mwambie yesu wa Ekaristi naomba nipatie Mme w mapenzi yako ee Mungu wangu katika roho na kweli nakwambia haitapita mwezi
Kumtuliza lisu n kumsaidia ktk matibabu yake na kufanya uchunguzi wa haraka ya waliompiga risasi na kuwakamata ili kuondoa dhamira inayomjengea chuki unapomnyima haki yake kutibiwa ata kama hajafuata sheria si yeye aliefanya mamunzi usipotoshe umma kuwa anatumia na hawa wanaotu tusi kumbuka...
Si walitahadharishwa wasifunje Sheria Lissu ametumia taaluma ya Yake kwnn wasifate sheria waende kumbuka hawajaambiwa wasiende iyo n suala yaisha ya Mtu siyo kisiasa lasima tahadari ichukuliwe na Dereva akiachiwa aje kuwekwa mabusu wakati wa upelelezi na kuteseka huko Polisini kubaya ata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.