Mrejesho; kama nilivyokuja kuomba msaada wa mawazo kutokana na KWIKWI kunishika kwa siku kadhaa
Nilijaribu kila kitu nilichoshauriwa
1. Kunywa maji - ilikuwainasaidia kwa muda tu
2. Sukari - kwa muda
3. Hospital nilikwenda nikapata dawa na vipimo juu lkn iliendelea
4. Matunda (matango) - baada...
Kama uzi unavyojieleza
Nianze na mimi binafsi nilijiunga JF miaka kadhaa nyuma kwa mkumbo wa washkaji. Niliendelea kujifunza kwa kuuliza maswali hasa changamoto zilizonikabili;
1. TANESCO
Changamoto yangu ya kwanza ilikuwa kuweka umeme nyumbani kwangu. Kama mjuavyo enzi zile umeme unakaa miezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.