Recent content by Kernel

  1. Kernel

    Imefika wakati serikali iangalie mishahara ya watumishi wa "Local government" maana hali zao za mishahara ni ngumu na mbovu sana

    Mkuu, maisha ni fumbo kubwa sana. Hata - Mshahara wa TCRA sio sawa na BRELA (Zote ni Taasisi za Serikali) - Mshahara wa EWURA sio sawa na RITA (Zote ni Taasisi za Serikali) - Mshahara wa TIC sio sawa na TCU (Zote ni Taasisi za Serikali) Na hata ukisema uhamie huko TCRA, EWURA, TIC...
  2. Kernel

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Mamlaka ya Mawasiliano Serikali (eGA)
  3. Kernel

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Swali la uelewa, hivi mamlaka zote zina mishahara sawa.. or tume zote zina mishahara sawa, maana ni the same authority or Tume?..
  4. Kernel

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Kwenye Kada nyingine kama TEHAMA inaweza kuwaje??
  5. Kernel

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Mfano wa hizo taasisi ni zipi?
  6. Kernel

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Extra Duty ni constant each moth the whole year au ina depends na budget ya idara?
  7. Kernel

    Mrembo wa chuo leo kakubali kwa matunzo ya laki moja kwa mwezi

    Okey acha nikuulize simple questions tu 1. Una malengo gani na huyo demu? 2. Unapenda kwa dhati Jibu hayo kwanza before sijakupa ushauri..
  8. Kernel

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    Kwa mwezi naweza tumia mpaka 400-500GB depend na mwezi, nafanya kazi mostly online plus online gaming na naona wachangia wengi hapa wana-base sana na mbps while kwangu PING also ina matter.. kushusha game za PS4 za PS PLUS each month zipo 4 mpaka 3 zinaweza tafuna hata 300GB. Anyway ngoja...
  9. Kernel

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    Haha naona wote Matumizi yenu ni ya kawaida sana.. sasa mimi sijui package gani itanifaa hapa aise.
  10. Kernel

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    okey thanks.. voda wana toa now offer ya (supa kasi) 20mbps kwa 115K msimu huu wa eid, but ni postpaid service...
  11. Kernel

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    Tatizo price zao wanaficha ficha, hiyo ya 12mbps una weza guess price range ??
  12. Kernel

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    Hawa coverage yao ipoje mkuu, am impressed!
Back
Top Bottom