Habar zenu ndug wana Jamii forum kama mada inavyojieleza hapo juu mimi ni kijana mjasiliamali ambaye ni mzoefu pia mmiliki wa KP FARM ninauza wa vifalanga vya kuku kienyeji na chotara wa umli wa mwezi mmoja pia ninatoa mafunzo ya ufugaji kibiashara kwenye taasisi,kampuni,vikundi,mtu binafsi...
Habari zenu ndug wana JamiiForums,
Kama mada inavyojieleza hapo juu mimi kijana mjasiliamali ninaye jiusisha huduma uuzaji wa vifalanga vya kuku wa kienyeji na chotara wa mwezi mmoja na vilivyo na chanjo pia ninatoa mafunzo kwenye vikundi, taasis, mtu binafsi juu ya ufugaji kibiashara hasa...
Habari wanajukwaaa kwa wale wenye mashamba mifugo kama kuku, bata, kanga n.k mimi ni fundi wa kuunda vitotoleshi vinavyotumia nishati ya umeme, sola, geneleta pia ni nina ujuzi wa kulea vifalanga na kuhudumia mifugo
Hivyo mtu anayehitaji kijana wa kusimamia miladi yake kijana wa kazi nipo...
Habar wadau wa jukwaa hili kama ujumbe wangu jinsi unavyojieleza hapo juu. Mimi ni kijana ambaye kitaaluma ni fundi umeme, ila nimejikita kwenye ufugaji kwa muda sasa hasa ufugaji wa kuku kienyeji na chotala pia nimepata uzoefu wa kutosha kuhusu magonjwa na chakula kwa kuku vile vile kupitia...
Mbona umeenda mbali ndug yang hapa hakuna yoyote aliye logwa tunajalibu tu kuelimisha na kujenga hoja sina makasiliko na mtu mim...sababu yesu yuko ndani yang
Siwezi kutumia nguvu kubwa kubisha na wewe hacha kukaza fuvu mjomba naishi kwa kula na kunywa kwa kaz hii hukisema sina kuku ni sawa maana sio kaz kukusibitishia.
Hapo kwenye andiko lako naona umetaja chakula na dawa tu ambazo unazopaga kuku wako ila chanjo sijaziona umetaja hivyo kama haukuzingatia utalatibu wa chanjo tatzo ndio linaanzia hapo husiangaike kumtafuta mchawi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.