Mwanamke yeyote kama hatumii maji anatumia tishu kuchamba mavi mkiingia kwenye shuhuli mavi yatanuka tu ndoomana ukiangalia maeneo yao yale chupi zinachafuka sana
Humu ndani watu hujitoa utu uzima nakujiweka kuwa watoto siku zote mtu akileta ushauli flani watu huanza kuleta utoto wao nakuhalibu story nzima iliyokuja mimi kama mimi uzi huu nimeulelewa sana katoa angalizo sasa nyinyi mnaojiona mnajuwa sana mlikuwa wapi kutuletea uzi kama huu acheji ujinga
Ukimchunguza sana bata huwezi kumla naona mwalimu wetu madhala yapo kwenye energy tu sijakuona ukizungumzia unga wa sembe soda peps ,Coca-Cola mafuta ya chakula tunayopikia majumbani karibia watu 95% tunatumia mafuta yakutoka nnje mfano mo au korie tunambiwa tusile nyama nyekundu nafikiri...
Wameona mbali wenzio sii watoto wale kama wewe, wasiombe msamaha watakula kwako, kumbuka Rais anauwezo wa kuwapiga chini wasigombee ubunge 2020 mkuu unaongea mwanafunzi was primary
Happy Ngereja na janwali wanauhakika wa kupewa kiti Cha kugombea ubunge 2020 ila kwandugu yangu Nape yeye inabidi aanze kutafuta chama cha siasa kingine aweze kujipachika hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.