Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,107
- 18,323
Usingoje kusimuliwa bidha yangu ya Energy Drink , ukinywa hii hata Kama ulikuwa huna nguvu utahisi kupa mawinguni Kama malaika wa mbinguni.
Usihofu Caffeine niliyokuwekea humo , ni kiwango kingi sana ndio maana sitaki mjamzito atumie maana inaweza kutoa mimba au kuharibu ila kama huna mimba bugia kwa Sana, maana najua caffeine ukifika kwenye ubongo wako itakufanya kuchangamka ila figo zako ndio zitaumia zaidi ila ukikosa usingizi usijari kesho kunywa tena utapata tatizo la usagaji chakula na tatizo la moyo sio mpaka nikwambie.
Guarana siwezi kuacha kuiweka, itakupa msisimko ikifika kwenye figo zako, zitashindwa kuchujwa hivyo figo zitakuwa dhaifu katika kuchuja damu yako, kama figo zako zikiwa mbovu kweli utaweza shika mimba ?
Sukari niliyokuwekea kwenye Energy Drink, ni nyingi sana sawa na kunywa vijiko 26 vya sukari ila kwani hilo ni mhimu sana ? Basi tulipoteze maana bila sukari kuwa nyingi huwezi vutiwa na Energy Drink yangu.
Mimi mjanja Sana nimekuweka vitamins B najua huwezi ni hoji madhara yake maana nataka kuipandisha presha kwenye damu yako, na kuharibu ini zako , ukose hamu ya kula Ila sio Sana kidogo Sana, itakupa mawazo kidogo pia na gesi kiasi ila kibofu chako cha mkojo kitapata tabu Sana baada ya kunywa Energy Drink yangu maana ukianza kuitumia hutatamani kuiyaacha hata kidogo.
Mwenye akili ndio ata -share-na wengine bidha yangu.
Dr William ( USA).
Usihofu Caffeine niliyokuwekea humo , ni kiwango kingi sana ndio maana sitaki mjamzito atumie maana inaweza kutoa mimba au kuharibu ila kama huna mimba bugia kwa Sana, maana najua caffeine ukifika kwenye ubongo wako itakufanya kuchangamka ila figo zako ndio zitaumia zaidi ila ukikosa usingizi usijari kesho kunywa tena utapata tatizo la usagaji chakula na tatizo la moyo sio mpaka nikwambie.
Guarana siwezi kuacha kuiweka, itakupa msisimko ikifika kwenye figo zako, zitashindwa kuchujwa hivyo figo zitakuwa dhaifu katika kuchuja damu yako, kama figo zako zikiwa mbovu kweli utaweza shika mimba ?
Sukari niliyokuwekea kwenye Energy Drink, ni nyingi sana sawa na kunywa vijiko 26 vya sukari ila kwani hilo ni mhimu sana ? Basi tulipoteze maana bila sukari kuwa nyingi huwezi vutiwa na Energy Drink yangu.
Mimi mjanja Sana nimekuweka vitamins B najua huwezi ni hoji madhara yake maana nataka kuipandisha presha kwenye damu yako, na kuharibu ini zako , ukose hamu ya kula Ila sio Sana kidogo Sana, itakupa mawazo kidogo pia na gesi kiasi ila kibofu chako cha mkojo kitapata tabu Sana baada ya kunywa Energy Drink yangu maana ukianza kuitumia hutatamani kuiyaacha hata kidogo.
Mwenye akili ndio ata -share-na wengine bidha yangu.
Dr William ( USA).