Ni kweli kufunga kula ni tiba sahihi sana. Lkn pia watu tuachane na matumizi ya sukari. Sukari haina faida yoyote katika mwili wa binadamu. Watoto tusiwaharibu kwa kuwapa sukari ili wazoee tangu utotoni.
Acheni Uzwazwa kama Rais anafanya vizuri tunaisifu. Kuna shida gani chato kuwa na uwanja wa ndege. ACHA HIZO mlizowafanyia wanaserengeti mpaka kukosa uwanja wa ndege kwa wivu tuu!
USHAURI WA BURE KWA VIONGOZI WA SERIKALI HUSUSANI MAWAZIR, WAKUU WA MIKOA NA WILAYA :
KATIKA SIKU ZA HIVI KARIBUNI KUMEKUWA NA MATAMKO YA KIBAGUZI. INAONYESHA KUWA WENGI WAO WANADHANI WAMETEULIWA KUONGEZA SEKTA ZA UMMA TU. LKN UKWELI NI KWAMBA UKIWA WAZIRI WA ELIMU, AFYA, ARDHI N.K WEWE NI...
NI HABARI MBAYA SANA! NILITEGEMEA SERIKALI KUSHUKURU NA KUPONGEZA KAMPUNI BINAFSI KWA KUZIBA MAPENGO MENGI KAMA IFUATAVYO :
1. VYOMBO VYA HABARI HUSUSANI TVS
2. USAFIRI WA ANGA, NCHI KIVUVANI NA BAHARINI.
3. HUDUMA ZA KIJAMII; AFYA, ELIMU NK
4. HUDUMA ZA FEDHA NA BIMA
5. UTALII
6. NISHATI...
SIKU YA MAANDAMANO NILISEMA DUNIANI KOTE WAFANYAKAZI WAMEKUWA CHACHU YA MABADILIKO YA KIDEMOKRASIA NA KIMAENDELEO. LAKINI WAFANYAKAZI WA TANZANIA WANATAKA WANASIASA NA HUSUSA WA UPINZANI WAWALETEE MABADILIKO HII HAIPO KABISA. BINTI MAGE ALIANISHA MADHUMUNI YA MAANDAMANO YA KITAIFA NA HAKUWA NA...
Kumbe zile hela za Chato Airport zingewekezwa kwanza JNIA, KIA na MZA.
La pili serikali ilitakiwa kutoa offer ya hao wageni kwenda Serengeti a National Park bure!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.