Ivi hio kauli ni ya wenzetu kenya wamesema ama ni maneno yako mbona kama kwenye uzi umesema kenya wanavyosema lakini naona kama wewe ndo unasema lakin pia inawezekana wewe ndo una huu ugonjwa inabidi ukapimwe note .HII NI TEST KWA BINADAMU KWAMBA NI WANGAPI WANAMKUBALI YESU KAMA MWIKOZI WA...
Maada nyingine mnapokuwa mnajadili kuweni makin sana maana mnaweza kumkosea Muumbaji wa yote . Haya yote yalishatabiriwa katika vitabu vitakatifu na sasa yanatimia hapo ndo utambue kwamba mwisho wa sayari yetu umekaribia kikubwa ni kurekebisha matendo yetu kabla ya kiama . Mungu hapimwi ndugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.