Wakuu natanguliza shukrani samahani doctors naomba nisaidieni kwa ushauri nikasome ipi kati ya diploma ya dental therapy na diploma ya clinical medine samahani kama nitakua nimeenda kinyume nataratibu za forum hiii
Samahan wakuu naomba msaada kwa wenye ujuzi Mimi nimepata nafac ya chuo cha bulongwa na course ni dental therapy diplom sa najiuliza iko powa maana kunachuo kingine pia walinikubalia clinical medicine ......natanguliza shukrani
[emoji1] [emoji1] [emoji1] bilaxhaka ww nitcha...ila kiukweli aangalie kip anapenda but to be honest afya diploma angalau kidg kwasasa but kwenye ualimu fool dies
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.