Watuhumiwa wa kashfa ya escrow; Ngeleja, Tibaijuka, Muhongo na Chenge waibuka kidedea, aliyeibua kashfa hiyo chaliii!
This can only happen in TZ tumeamua wenyewe ufisadi ni jambo jema na basi tukubaliane kwamba ufisadi ni jambo tunalolitaka, na tuwe tunasherekea ufisadi ukitokea badala ya...
Moja ya kazi ya kura yako kwa Edward Lowassa kesho asubuhi ni kulipa ada...
Vijana wanaenda kulipa ada za wadogo zao mpaka chuo kikuu... wengi wao wana wadogo wawili au hata watatu kuwasapoti wote inakua shda sana hasa kwa elimu ya juu..
Wakinamama ,wakinababa na wazee wote kwa ujumla...
kwa mujibu wa taarifa hii hapa siku 20 zimeshapita tangu Jenerali mwamnyange aanze ziara yake nchini Italy ; Je bado hajarudi tu? kwan ziara yake ilikua ya miezi mingapi?.anarudi lyn? there is something fishy...!!!hata waandishi wa habari wanaogopa kufuatilia hii habari Ngome..ajitokeze...
hv unajua loan board ilianzishwa lini?...HESLB became operational in July 2005.kabla yahapo watu walikua wanasoma vyuoni kwa hela ya serikali kila gharama ilikua covered..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.