Matatizo ya nchi hii hayaitaji nguvu nyingi kuwaeleza wananchi Kama unavyo dhani.
Tatizo la ajira:watu wote wanajua Kama magufuli ameshindwa kutatua Hilo tatizo.
Elimu:dunia unajua Kama magufuli ameshindwa kwenye elimu.
Afya:dunia yote unajua Kama atufuli hana uwezo wa kuhakikisha Kila...
Ukiingiza gari kutoka znz utaratibu wake ni Kama umeingiza kutoka nchi jirani.utapewa document inaitwa TIP ambayo utakuruhusu kutumia gari yako ndani ya miezi (3) then utatakiwa kulipa ushuru au kila baada ya miezi (3) uwe unaigia znz na kutoka ili upate TIP ya miezi (3) mingine.
Mahusiano ya Tanzania na Rwanda ni ya kiuchumi zaidi.kumbuka Rwanda wanatumia bandari yetu kusafirisha mizigo yao lakini pia kuna bidhaa nyingi za Tanzania zinaingizwa Rwanda kibiashara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.