Recent content by KEMWERU

  1. K

    Natafuta kazi za ndani niweze kuendesha maisha yangu

    Jamani huyu dada aliniambia nimsaidie kutangaza mtandaoni me nikaandika direct so am verry sorry but wenye uhitaji washaanza kumtafuta
  2. K

    Natafuta kazi za ndani niweze kuendesha maisha yangu

    Ukimpigia huyo dada maelezo atakupa hayo hayo yey nmemsaidia kutangaza mtandaoni
  3. K

    Natafuta kazi za ndani niweze kuendesha maisha yangu

    Piga hiyo namba yeye ni binti
  4. K

    Natafuta kazi za ndani niweze kuendesha maisha yangu

    Naitwa Irene Misana mimi ni msichana wa miaka 20
  5. K

    Huu ni uonevu au njaa

    Siyo kutunga mzee hiyo imetokea mwezi uliopita tarehe 6
  6. K

    Huu ni uonevu au njaa

    Wakati nipo kibaruani maeneo flani ya Tazara jijini Dar es salaam pale kazini kwetu kuna wafanyakazi wanakujaga kufanya kazi kama vibarua kulingana na uwepo wa kazi. Mara nyingi kazi zikiwepo wanaweza fululiza hata miezi miwili au mitatu wakifanya kazi kama kazi hamna inaweza pita hata miezi...
  7. K

    Vibarua kiwanda cha Bakhresa Buguruni

    kuna makampuni ya kichina na ya kihindi yanafanyisha kazi watu masaa kibao na hawa machawa eti ma HR ndo wanaongoza kukandamiza watu na sheria wanazijua sheria za kazi masaa ya kufanya kazi ni saa nane na mda wa kula ukiwa hupo humo humo baada ya hapo kinachoendelea ni overtime ila kuna kampuni...
  8. K

    Chota mihela Wasafi FM leo asubuhi katika Sport Arena imenishangaza

    Unaanza kuongopa wakina zungu na salma dakota wakati wanamaliza kipindi cha Goodmorning habari ya asubuhi ndo walimpigia mshindi wa milion moja namba ikawa haipatikani wakapiga tena yale yale wakasema wanaondoka watamtafuta Wakati sports arena inaanza wameanza na mihtasari ya michezo . Tuzo ya...
  9. K

    Jogging pembeni ya barabara zinagharimu UHAI

    Leo wakati natoka kwenye kibarua changu asubuhi nikiwa na rafiki yangu kituo cha vetenary nyuma kulikuwa na kundi la wanajeshi wamevaa nguo za kimichezo truck suit wakikimbia jogging nais ni wa jkt mgulani walitoka upande wa Tazara wakielekea sokota mim na mwenzangu tukavuka upande kutoka kulia...
  10. K

    Mafundi umeme mnisaidie kuhusu hiki kitu

    Mim kuna nyumba nlikuwa nakaa ilifika kipindi tunapiga ngumi kabisa kwa sababu ya umeme mwenye nyumba akaamua kufunga hivyo vimeter kila mlango wa chumba Tulichokifanya umeme ukiisha mnanunua umeme wote kila mpangaji labda kila mmoja unit 15 tunaweka labda mpo sita kwa hiyo itakuwa 15 x 6...
  11. K

    Mfahamu "Mkandala Rufufu" mzee wa kukotola

    Hayo maneno unayoyasema ni Mkandara lufulu "lukoma abambeija" maneno mengi aliyokuwa akitumia yalikuwa ni ya kihaya mfano Nyugunyu ni nyonga Kanyampasila ni sehemu iliyobana mfano cell au mahabusu Akakoimoza ni akakimbia Dawa aina ya ntale ye ilungu dawa inayopatikana porini sana Bunduki aina...
Back
Top Bottom