Recent content by kemondo

  1. K

    Kwa hili la mmundo wa muungano wetu tumwache baba wa taifa alale kwa amani.

    umenena mwanangu baadhi watu hasa watawala wanaogopa mabadiliko sijui kwanini.hawataki kwenda na nyakati kuna baadhi ya watu wanafikiri bado fikara za mwaka 1960 zanafaa 2013.Mungano wa sasa umetufaa kwa wakati huo lakini sio sasa.
  2. K

    Katiba mpya ni ya watanzania si ya vyama vya siasa

    Wakati mchakato wa katiba mpya unaendelea kuna baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wameanza kusema hili tunalitaka hili atulitak,i kwani katiba mpya ni ya vyama vya siasa? Tunataka katiba mpya ambayo itaweza kuodoa kero za kiutawala,kero za kijamii, kero za muungano,kero za uchaguzi,kero za...
  3. K

    Wahaya wote inawahusu!!!

    Samehe bure,ukabila utakwisha taratibu kadiri miaka inavyokwenda.mbona tunaoleana kwa sana siku hizi, ipo siku tutakuwa kabila moja la watanzania.
  4. K

    Leseni mpya za udereva

    mwisho si umaambiwa ni mwezi march 2013
  5. K

    Kikwete: Ipo misikiti mitatu jijini Dar-es-Salaam ilinisomea itikafu ili nife!

    Mmmm! makubwa haya,kuwa wazi ni muhimu hasa kwa mkuu wa nchi kwani tatizo nini?
  6. K

    Ni kweli uhuru walionao wanafunzi mashuleni kwa sasa umemomonyoa nidhamu yao?

    Katika vigezo vya wanafunzi wa shule za msingi na sekondary kushindwa kufauli mitihani yao, hasa nyakati hizi ni utovu wa nidhamu wa wanafunzi.Wanafunzi siku hizi wanalindwa kwa kila hali wasihadhibiwe na walimu wao baada ya kutenda makosa kwa kisingizio cha haki za binadamu.Uhuru waliopewa...
  7. K

    Kodi/ushuru wa magari chakavu tra

    Wasomi wa kod,i nielimishe kuhusu kodi za magari chakavu yanayoagizwa kutoka nje ya nchi mara yapoingia bandarini DSM kwa upande wa TRA na TPA hadi gari inaingia barabarani.Elimu hii itanisaidia mimi na wenzangu wanaoagiza magari kisha wakashindwa kuyatoa bandarini kwa sababu ya kodi lukuki.
  8. K

    Muungano ukivunjika Zanzibar itatawaliwa

    Zanzibar ikijitenga aitakalika kwani wazanzibar wanajigawa katika makundi tofauti tofauti kwa mfano kuna wapemba,waunguja kuna wazanzibara na hata waarabu wachache. baada ya kuvunjika muungano lazima wachinjane tu.huu muungano unawanufaisha wao kuwa salama na amani kutawala.Na wanaolilia...
  9. K

    Esther Wasira: Waliofilisi Mashirika ya Umma na Kujiuzia nyumba za umma kukiona 2015: Angalia Ch 10

    Mazoea mabaya,baadhi ya watu hasa katika Tanzania yetu wanapenda kusikia maneno kutoka kwa viongozi waliowazoea si kwa watu wapya kama Esther Wasira au Zitto Kabwe nawengineo ndio maana kubadirika kiuchumi,kijamii na kisiasa itachukua muda mrefu katika nchi yetu.
Back
Top Bottom