kuna tapeli mwingine anaitwa JOHN MALONDO anatumia email adress hr.haule@rocketmail.com anajifanya anafanya kazi exim bank kama HR msaidizi. Kuweni makini na email adress hiyo.
kwani mkiweka appointment muonane alafu katikati ya muda tatizo likatokea mmoja akaahirisha kuonana huo ni uswahili..??na taarifa amekupa?? WAKISHUA unaonekana ulikuwa na kimulemule cha kuona siku hiyo..ulilipuka mbayaa(kidding)
written..english ya form one eg unajua kutumia maneno kama under, whereby, on, therefore. Typing wanaangalia speed yako. Computer kama unajua kufungua folders na kusave.
Itakusaidia kama umeitwa kwa ajiri ya customer care.
dah watu hawana utu kabisa, ilimtokea rafiki yangu hiyo kwenye kazi za exim bank, jamaa tapeli anaitwa john malondo kwenye mshahara anataka laki tatu, alafu anajifanya anafanya kazi hapo kumbe alishafukuzwa kazi kitambo kwa sababu ya utapeli wake. Kuweni makini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.