Recent content by kelvinlewis

  1. kelvinlewis

    Kwanini Wanaomkana Mungu husisitiza ya kuwa Mwenyezi Mungu ni matokeo ya fikra za Mwanadamu?

    Sasa masuala ya mungu kuwatia moto watu nyie mumetoa wap mambo daa mambo ayaa ujue.... ! Ebu rejea swali la mkuu apoo nyuma miaka Nyuma kabla ya Uslam na Ukristo kuja mababu zetu walikuwa hawaabudu
  2. kelvinlewis

    Kwanini Wanaomkana Mungu husisitiza ya kuwa Mwenyezi Mungu ni matokeo ya fikra za Mwanadamu?

    Nishajiuliza vitu iv akin ujue iv vtu n udungaji tu na watu wamevisimamia Kweli Kweli
  3. kelvinlewis

    Fort Jesus Mombasa ni kumbukumbu muhimu zaidi iliyobaki Afrika

    Kwa kumbukumbu zangu da nilivoona nyororo zilee
  4. kelvinlewis

    Fort Jesus Mombasa ni kumbukumbu muhimu zaidi iliyobaki Afrika

    Asante sana mkuu kwa maelezo yako mazuri ya nyongeza ni Kweli kabisa na Mimi nilisimuliwa ivo ivo na watu waliokuwa wakininyesha jengo iloo kiukweli lina historia nzuri sana niliweza hadi kutoa machoz pale nilipoonyesha minyororo ya zamani ambayo walifungiwa watumwa ndani ya jengo hilo kama jela...
  5. kelvinlewis

    Fort Jesus Mombasa ni kumbukumbu muhimu zaidi iliyobaki Afrika

    Sawa mkuu kwa mawazo yako nitarekebisha akin kuna picha kbao za watu humu.
  6. kelvinlewis

    Fort Jesus Mombasa ni kumbukumbu muhimu zaidi iliyobaki Afrika

    Sawa mkuu ni sehemu nzuri sana kihistoria kwa East Africa
  7. kelvinlewis

    Fort Jesus Mombasa ni kumbukumbu muhimu zaidi iliyobaki Afrika

    Napoleone, Sasa mkuu sawa mm sio mwarifu wa kusema nijifiche najifichia nn asa soma ukielewa basi usipoelewa pia piga chini sehemu za kihistoria zipo nyingi sana duniani ata iyo BAGAMOYO yako ni ya for tuu usipende kudharau vitu va watu.
  8. kelvinlewis

    Fort Jesus Mombasa ni kumbukumbu muhimu zaidi iliyobaki Afrika

    Sawa kiongizi niliandika kiufupi tu coz mambo mengine ckuyakumbuka na baadhi ya pcha zilipotea ndo mana ikawa ivo sema sorry wakati mwingine nitajitahid kuelezea vizuri
  9. kelvinlewis

    Fort Jesus Mombasa ni kumbukumbu muhimu zaidi iliyobaki Afrika

    Ndo apo mungu kajijalia kufika mkuu kwingine bado japo napenda sana
  10. kelvinlewis

    Fort Jesus Mombasa ni kumbukumbu muhimu zaidi iliyobaki Afrika

    Nami pia nmezurura kdogo na kupata history ya hapa na pale katika Africa, asante Mungu kwa hicho kidogo ambacho ushanijalia; naamini kabsa wapo wengi ujawabariki kupata story na kuona kwa macho vitu va zamani zaidi. Fort Jesus Mombasa ni zaidi ya kumbukumbu muhimu zaidi iliyobaki africa na zama...
  11. kelvinlewis

    Ndugu zangu Waislam kufundisha karate Misikitini lina maana gani hili

    Nop cna maana iyo ndugu yangu #Kahtaan viongozi wengi wa dini ya kiislamu hasa cjui hawa mashehe mafundisho yao wa ni ya visasi tu Mara utasikia hatupaswi kuishi na MAKAFIRI Mara ngap nisha waskia mashehee wakitoa mawaidha ya kutisha ya kichochezi kwa dini nyingine Na ukitaka ata ushaidi wa izo...
  12. kelvinlewis

    Ndugu zangu Waislam kufundisha karate Misikitini lina maana gani hili

    Kwanza KAFIRI ni cheo cha kifalme uko misri kitambo wafarme wote waliitwa jina ilo walioitwala misr
Back
Top Bottom