Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,657
- 71,443
Wala sijakufikea mpendwa.
That was just a simple advice frm someone who cares sweetheart.
Nioneshe hiyo advice kwenye comment yako ya mwanzo
Wala sijakufikea mpendwa.
That was just a simple advice frm someone who cares sweetheart.
Nop cna maana iyo ndugu yangu #Kahtaan viongozi wengi wa dini ya kiislamu hasa cjui hawa mashehe mafundisho yao wa ni ya visasi tu Mara utasikia hatupaswi kuishi na MAKAFIRI Mara ngap nisha waskia mashehee wakitoa mawaidha ya kutisha ya kichochezi kwa dini nyingineUkiandika hali ya kuwa umeshakunywa Divai ya bwana lzm utavuruga tu.
Hebu nambie wapi Waislamu walienda kuvamia Nchi ya makafiri na kurusha mabomu na kupeleka Wanajeshi na kuua mamilioni ya watoto na wanawake na raia wa kawaida wasiokuwa na Hatia?
Hapa HUTOKUWA NA JIBU.
Sasa nakuuliza tena.
Nchi ngapi za Kiislamu Zilizovamiwa na Mataifa ya KIKRISTO?
Ntakusaidia majibu Kadhaa ili upate wepesi wa Kuendelea..
IRAQ
AFGHANISTAN,
LIBYA,
LEBANON,
SYRIA
PAKISTAN,
Endelea sasa mchungaji kelvinlewis
Umeanza na point nzuri kisha ukamalizia na upuuzi wa ajabu sana.Nop cna maana iyo ndugu yangu #Kahtaan viongozi wengi wa dini ya kiislamu hasa cjui hawa mashehe mafundisho yao wa ni ya visasi tu Mara utasikia hatupaswi kuishi na MAKAFIRI Mara ngap nisha waskia mashehee wakitoa mawaidha ya kutisha ya kichochezi kwa dini nyingine
Na ukitaka ata ushaidi wa izo clip zipo.
Sasa ao ni wakitanzia tu wenye imani Kali kama izoo na ukizingatia iyo dini kaletewa kutoka mashariki ya kati kaisoma na kuiamini kiasi icho kama kwamba nayeye kasha kunywa damu ya MUHAMMAD
Sasa ao wenyewe wenye din yao ss kwa wasipgwe kutoka na matamshi yao wanayokuwa wakiyatoa kwani wanaongeaga kishujaaa sana kana kwamba amna taiga lolote linaloweza kufanya kitu chochote
Na pia mtu kama SADAM HUSSEN kauwa watu wa ngapi uko IRAQ EEE na uyo GADAFI kauwa watu wangap uko LIBYA EEE au we unaona tu wanaonewa coz ni watu wa dn zako tuache ushabiki wa kidini waislamu sana misimamo mikali sana ata ao viongoz walipgwa kwa sababu na wao wameuwa watu wengi sana wasio na hatia
So waumini wa dini ya kiislam ni watu ambayo wanatkiwa kuwa chini uangalizi mkali coz awachelewi kufa na watu wasio na hatia
Ulivoandika hapa tu unaonesha una chuki mbaya sana.Umeanza na point nzuri kisha ukamalizia na upuuzi wa ajabu sana.
Nimekuuliza swali umeshindwa kujibu.
Wewe alokwambia Sadam Na Gaddafi wameua watu wengi ni nani zaidi ya hao hao makafiri waliomvamia?
Ulikwenda Libya au Iraq ukakuta watu wameuawa ovyo?
Waafrika tunakuwa km wapumbavu tusio na elimu? We ukiambiwa chochote na mzungu tayari inaamini bila kuuliza.
Sasa baada ya kumuua Sadam na Gaddafi hizo nchi zimetulia na kuwa na amani?
Acha kuwa na akili za kuambiwa.
Jiongeze , do some research, dig deep into different angles.
UISLAMU hata siku moja haujaamrisha CHUKI na Throughout the history waislamu wameishi na Makafiri bila tatizo lolote na ndio maana mpk leo Kina Joseph na Josephine wanafanya kazi na waislamu huko Uarabuni bila tatizo lolote.
Lkn makafiri hawapendi kuona waislamu wanaendelea. Chuki zimewajaa km wana mimba za miezi 12.
That is the whole issue
Na chuki na wasamba unafiki hapa jukwaani.Ulivoandika hapa tu unaonesha una chuki mbaya sana.
Mnaaminishwa nyie Ni Bora kuliko iman zingine...mnapotea! Mafundisho tumeletewa na wageni haya, vipi mzee unapata wapi ujasiri wa kuona mwenzio hafai anachokiamini ukiwa wewe binafsi pia unafata Imani ambayo huijui vizuri na lengo walilolianzisha? Mungu akusaidie.Ukafiri SIO TUSI bali ni Cheo km vile Umeneja au Ukarani.
Na ukitaka kupata cheo hiki basi anza kuabudu sanamu ya mzungu aliyevuliwa nguo au sanamu yyt km huyo Bi Faru hapo juu.
Wapi nimesema mimi bora kuliko mwingine?Mnaaminishwa nyie Ni Bora kuliko iman zingine...mnapotea! Mafundisho tumeletewa na wageni haya, vipi mzee unapata wapi ujasiri wa kuona mwenzio hafai anachokiamini ukiwa wewe binafsi pia unafata Imani ambayo huijui vizuri na lengo walilolianzisha? Mungu akusaidie.
Imani kitu Cha Hatari pia, unapoamini iman yako Ni Bora zaidi kuliko ya mwingine obvious unakaa humo pia. Mbona wakristo wanawaheshimu na iman yenu, vipi nyie? Acheni kuita watu makafir kisa na sababu hawaamini mnachoamini.Wapi nimesema mimi bora kuliko mwingine?
Au umeamua kunikashifu bila sababu.
Nimetoa definition ya KAFIRI na sio vinginevyo.
Soma nilichoandika huenda ukapata faida japo kidogo
Maandalizi ya JIHAD kwa ajili ya kupigania dini
Unaendelea kuandika utumbo na uongo bila aibu na wala sina haja ya kuendelea kupoteza muda wangu lkn kabla sijakupuuza nataka nikupe ukweli unaoufahamu lkn unajipofua macho kusudi.Imani kitu Cha Hatari pia, unapoamini iman yako Ni Bora zaidi kuliko ya mwingine obvious unakaa humo pia. Mbona wakristo wanawaheshimu na iman yenu, vipi nyie? Acheni kuita watu makafir kisa na sababu hawaamini mnachoamini.
Unataja majina bila hata kujua maana yake.Na wewe bhana! Kwanini usijiulize Wakina Osama,alkaida,alshabab na bokoharamu wanatoka dini gani? Hio ni njia ya kufikia hayo makundi na ndio kumpigania huyo Mungu wao na akijilipua malipo yao ndio yanakuwa makubwa
Muislamu gani huyu?Wee ni muslamu kwani adi uje uku kuuliza
OkUnaendelea kuandika utumbo na uongo bila aibu na wala sina haja ya kuendelea kupoteza muda wangu lkn kabla sijakupuuza nataka nikupe ukweli unaoufahamu lkn unajipofua macho kusudi.
Ulishawahi kusikia MUISLAMU YYT anachoma au kuchanachana BIBLIA ya wakristo hata siku moja?
Sisi waislamu siku zote tunaheshimu Imani za wengine na kamwe hatufanyi unayodai .
Lkn Nyie wafanya ibada za weekend sio kuchana tu QURAAN bali mnaichoma na kuikojolea kabisa.
Yaani chuki zenu utafkiri tumewaolea wake zenu.
Hio ni Laana mwayena. Laana ya Mungu haito waacha mkiendeleza chuki zenu.
Je, kunyang'anya na kumwoa mke wa mwanao ni halali? Huyu aliyefanya hivi naye ni mtume? Kiongozi wa dini kufuga majini ni sifa ya kuwa muumini wa hiyo dini?Kafiri ni binaadamu yyt anaeabudu ASIEKUWA MUNGU MMOJA.
Au yyt mwenye KUKANA SIFA ZA MUNGU.
Kwa hivyo, kumkana MUNGU, kumshirikisha na Viumbe ktk UUNGU WAKE au kuamini kwamba MUNGU ana mtoto, kukana moja ya sifa zake kwa makusudi humpelekea mtu kwenye UKAFIRI. na Kumshirikisha ni ukafiri mkubwa zaidi.
Natumai nimejibu swali lako
Unapoleta hoja kama hii lazima uweke na Ushahidi ili watu wenye Elimu wakusaidie jibu.Je, kunyang'anya na kumwoa mke wa mwanao ni halali? Huyu aliyefanya hivi naye ni mtume? Kiongozi wa dini kufuga majini ni sifa ya kuwa muumini wa hiyo dini?