Kabisa,kwaninavyoimagine Edna yupo sample zakina Paula Ila kiuzur Paula bado Sana nataman hii story ingekua yakweli ili mtunzi s singanojr atuwekee picha ya Edna na mwamba Roma ao wengine sina issue nao labda mrembo Najma
Daah kama uchawi Leo nimekuona online na hapa nasikiliza mixtape yako ya bongohiphop. Ngumu kumeza he akuna nyingine kama hii au kama ile ya superwomen pia kama kunauwezekana wakunipatia ya DJ mosimo bongo bounce naomba
Inqchoma kaka unamaana kati ya mamilion ya watanzania hakuna atakayeweza kufanya mabadiliko hilo camin mi nachoamin watu wenyenye vinasaba vya jpm wapo
Licha yakwamba mambo ya kiutawala yanayumba ila acha niseme tu respect kwenu wana jf
Me kama mwanachama huru apa jf kuna mambo mawili (chanjo ya korona na tozo kwenye miamala) nashindwa kuyaelewa husan kwenye vipind hivi viwil vya utawala yaan utawa Wa jpm na huu Wa mama
Labda nianze na swala...
Saf umejibu vizur,ila ninaswali kwako ni jambogan lililokufanya use me kua jamaa yupoteyar kufa kisa din manake kwenye majibu take me nimeona kama mtu wa kat anaamin serikar,siasa na din ila cjaona sababu ya kumwita mfia din mbona profile take ajaweka picha ya yesu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.