habari zenu wana JF
jaman wenye uzoefu naomba mnisaidie mtoto wangu wa miezi tisa yeye anapenda maziwa tu ukimpa vyakula vingine hataki hata kidogo anajitapisha chote naombeni msaada maana maziwa pekee kwa umri wake hayatoshi.
imepita miezi mitano sasa tangu nilivyojifungua mtoto wangu wa kwanza, imetokea hali ambayo inanichukiza kwa kweli ni ili tumbo langu kuwa kubwa kama bado nina mimba, kwa ambaye anaweza kujua dawa yoyote ya asili ambayo inaweza kunisaidia kulipunguza, mazoezi yamenishinda nimejaribu sanaaa...
Pole dear kaa chini mzungumze kama ni mtu msikivu atakuelewa na atajirekebisha, na uache hiyo tabia ya kukagua simu ya mumeo unaona sasa yaliyokukuta. wish u lucky
Je naweza kuanza kumpa mtoto wa miezi mitatu na wiki mbili juice za matunda? Uji au mtori na anatumia maziwa ya ngombe, ya kopo aliyakataa huwa nakwenda kazini nachelewa kurudi.
mbona wana jf mnaleta utani nimeleta shida yangu mnafanya masihara unadhani kazi ndogo ya kudanganyana kila siku jaman inachosha, naitaji kusettle kwa anayejal na kupenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.