Juzi nilifanya manunuzi mtandaoni ila nilichokutana nacho ni cha kusikitisha.
Nilinunua bidhaa kutoka nje, nikafanya malipo online kupitia visa card ya airtel, jumla ya malipo ilikuwa kama $112 plus transaction fee ikawa $115.35,ambayo ni kama Tsh 268000 na senti zake, lakini cha ajabu...
Ali express ni waziristan kiasi ila shida yao ni muda wa kusafirisha mzigo .
Mm niliagiza flash kutoka Ali express ilichukua muda wa miezi 2 kunifikia.
Ila kwa sasa nashukuru nimehamia Alibaba naagiza mizigo na kunifikia chapu.
Habari zenu wapendwa wanajamvi
Ninapenda kuwa mtalaamu /fundi wa kuseti madishi ya ving'amuzi kama vile DSTV, Azam n.k. ila sijui wapi naweza kupata elimu hiyo.
Naomba msaada kwa mwenye kujua zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.