Recent content by kekule benzene

  1. kekule benzene

    Ni siku ngapi unahitaji kufanya kazi ili kununua iPhone 17 Pro yenye thamani ya dola 1,099 (TSh. 2,711,957)? Tazama katika nchi mbalimbali duniani

    Swala la kununua simu na nchi inahusiana nini? Maana swala la kununua simu ni ishu binafsi kulongana na kipato cha mtu husika Hata hapa Tanzania Kuna watu dakika moja tu hiyo hela washaipata
  2. kekule benzene

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Mwanaume acha kulia lia, chukua maamuzi magumu. Mwanamke anazingua piga chini, akazingua na mtoto mwachie alee mwenyewe, yakimshinda atakutafuta tu akupe mtoto wako
  3. kekule benzene

    Soma vitabu hivi utafanikiwa kwenye biashara yako

    Soma kwanza kitabu " SELL LIKE CRAZY" upate kujua jinsi ya kuandika matangazo yanayovutia
  4. kekule benzene

    Masheikh mliosoma dini na kupata nyadhifa katika jamii acheni tabia ya kuchanganya dini na uganga/uchawi

    Watu Kuna waumini na waovu Majini Kuna waumini na waovu (mashetani) Majini waumini wanafanya ibada zao na hawana mafungamano na binadamu either kuwadhuru au kuwanufaisha. Majini waovu/mashetani ni ambao wana mafungamano na binadamu, wanatumia binadamu kwa masharti maalumu kuwanufaisha ikiwa...
  5. kekule benzene

    Masheikh mliosoma dini na kupata nyadhifa katika jamii acheni tabia ya kuchanganya dini na uganga/uchawi

    Huyu anayesema hivyo mbona hayajamsaidia kutoboa kwa wajumbe kwenye kuusaka ubunge ?
  6. kekule benzene

    Ndg zetu waislamu kwani Adhana ni lazima?

    Hujakutana na makanisa kila robo saa ni mwendo wa kengele tu
  7. kekule benzene

    INASIKITISHA SANA KUONA KUNA VIJANA WANAOMBA KUSOMEA KOZI YA UALIMU

    Yaliyokukuta wewe ndiyo yaliyonikuta mimi. Mimi nimepata division one O level na advance ila nilijichanganya kwenye kuomba vyuo, niliweka education ili mradi kutimiza idadi tena ya mwisho Ndio nikachaguliwa hiyo hiyo, yote kwa yote sikuona Shida kuchaguliwa ila baada ya kuchaguliwa nikaanza...
  8. kekule benzene

    INASIKITISHA SANA KUONA KUNA VIJANA WANAOMBA KUSOMEA KOZI YA UALIMU

    Kwenye interview iliyopita Kuna somo walikuwa wanahitajika <200 ila wameomba watu 21,000. Hata hayo mason ya Sayansi, chemistry na Biology walikuwa wanahitajika watu 500, 500. Ila waombaji kila somo ni 10,000+ yaani 1:20
  9. kekule benzene

    INASIKITISHA SANA KUONA KUNA VIJANA WANAOMBA KUSOMEA KOZI YA UALIMU

    " Law of demand and supply" Watu wakikimbia, automatically wahusika wataongeza thamani ya taaluma husika. Ishu sio kufuta bali kupunguza. Tanzania kwa mwaka inazalisha walimu wengi sana. Sisi tulimalizaga UDOM, kwa degree peke yake inakaribia 5000. Hapo hujagusa DUCE, MUCE nk ambapo...
  10. kekule benzene

    INASIKITISHA SANA KUONA KUNA VIJANA WANAOMBA KUSOMEA KOZI YA UALIMU

    Your chronological growth is inversely proportional to your mental geowth
  11. kekule benzene

    INASIKITISHA SANA KUONA KUNA VIJANA WANAOMBA KUSOMEA KOZI YA UALIMU

    Kila kada inatoa huduma kwa namna moja au nyingine, kwa nini kada hizo tu ndio zionekane hazifai kupewa maslahi stahiki? Mimi sisemi watu walipwe milioni 2+ au wawe matajiri kwa mshahara, angalau mtu wa degree awe na uhakika wa kupata 900k take home kwa mwezi ila Hussle zote mtu apate take...
  12. kekule benzene

    INASIKITISHA SANA KUONA KUNA VIJANA WANAOMBA KUSOMEA KOZI YA UALIMU

    Ushanielewa wewe, Lengo la mtu kusoma sio kwenda kufanya kazi ya wito tu, Lengo ni mtu kufanya kazi/kuhudumia jamii huku na yeye apate personal development. Inawezekana vipi kufanya kazi kwa wito huku una mzigo wa madeni, kodi, mahitaji ya nyumbani?
  13. kekule benzene

    INASIKITISHA SANA KUONA KUNA VIJANA WANAOMBA KUSOMEA KOZI YA UALIMU

    Njoo DSM uone walimu wanavyoforce, hadi week end + sikukuu wanalazimisha watoto waende school kisa 100 au 200 za wanafunzi mtu anauza biskuti ya 200 kwa 1000( USHIRIKIANO)
Back
Top Bottom