Swala la kununua simu na nchi inahusiana nini?
Maana swala la kununua simu ni ishu binafsi kulongana na kipato cha mtu husika
Hata hapa Tanzania Kuna watu dakika moja tu hiyo hela washaipata
Watu Kuna waumini na waovu
Majini Kuna waumini na waovu (mashetani)
Majini waumini wanafanya ibada zao na hawana mafungamano na binadamu either kuwadhuru au kuwanufaisha.
Majini waovu/mashetani ni ambao wana mafungamano na binadamu, wanatumia binadamu kwa masharti maalumu kuwanufaisha ikiwa...
Yaliyokukuta wewe ndiyo yaliyonikuta mimi.
Mimi nimepata division one O level na advance ila nilijichanganya kwenye kuomba vyuo, niliweka education ili mradi kutimiza idadi tena ya mwisho
Ndio nikachaguliwa hiyo hiyo, yote kwa yote sikuona Shida kuchaguliwa ila baada ya kuchaguliwa nikaanza...
Kwenye interview iliyopita Kuna somo walikuwa wanahitajika <200 ila wameomba watu 21,000.
Hata hayo mason ya Sayansi, chemistry na Biology walikuwa wanahitajika watu 500, 500.
Ila waombaji kila somo ni 10,000+ yaani 1:20
" Law of demand and supply"
Watu wakikimbia, automatically wahusika wataongeza thamani ya taaluma husika.
Ishu sio kufuta bali kupunguza.
Tanzania kwa mwaka inazalisha walimu wengi sana.
Sisi tulimalizaga UDOM, kwa degree peke yake inakaribia 5000.
Hapo hujagusa DUCE, MUCE nk ambapo...
Kila kada inatoa huduma kwa namna moja au nyingine, kwa nini kada hizo tu ndio zionekane hazifai kupewa maslahi stahiki?
Mimi sisemi watu walipwe milioni 2+ au wawe matajiri kwa mshahara,
angalau mtu wa degree awe na uhakika wa kupata 900k take home kwa mwezi
ila Hussle zote mtu apate take...
Ushanielewa wewe,
Lengo la mtu kusoma sio kwenda kufanya kazi ya wito tu,
Lengo ni mtu kufanya kazi/kuhudumia jamii huku na yeye apate personal development.
Inawezekana vipi kufanya kazi kwa wito huku una mzigo wa madeni, kodi, mahitaji ya nyumbani?
Njoo DSM uone walimu wanavyoforce, hadi week end + sikukuu wanalazimisha watoto waende school kisa 100 au 200 za wanafunzi
mtu anauza biskuti ya 200 kwa 1000( USHIRIKIANO)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.