Recent content by Kekofya

  1. Kekofya

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na wenzake: Kaaya amaliza kutoa ushahidi. Shauri kuendelea 29/10/2021

    Ushahidi wa Mashahidi wa serikali unaotolewa Mahakamani unaiaibisha kabisa serikali, unaivua nguo hadharani! Aibu tupu!
  2. Kekofya

    JamiiForums Tanzania Maalim Seif asema licha ya kuapishwa madai yao ICC yako pale pale!

    Dongo la macho hilo! Si rahisi kuukata mkono unaokulisha!
  3. Kekofya

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

    Jamani acheni mizaha! Kapigwa chini kweli au ni speculations?
  4. Kekofya

    JamiiForums Tanzania Nguvu ya Job Ndugai ilivyowasambaratisha Prof. Assad, Makonda, Tundu Lissu, Mbowe na Mpina!

    Job Ndugai hana nguvu wala ushawishi wowote zaidi ya kulindwa na bosi wa genge lao JPM! Angekuwa na nguvu au ushawishi asingetegemea kuokolewa na TUME ya “uchafuzi” ya CCM!
  5. Kekofya

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amlipia Peter Msigwa Tsh. Milioni 38 ili atoke gerezani, CHADEMA wadai wameshamlipia Mil 40

    Hivi kuna Mjinga yeyote wa kufikiri Mahakama ingetoa Maelezo yanayotofautiana na ya Msemaji Mkuu wa Serikali? Labda kama Hakimu kachoka kazi na maisha! Hakuna aliye salama kikazi wala ki uhai katika awamu hii. Wakishindwa kukufukuza kazi utapambana na 'wasiojulikana' au kubambikiwa kesi ya...
  6. Kekofya

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuweni na shukrani, punguzeni kulalamika, shukuruni kwa yote. Ile kesi mbaya! Shukuruni mahakama, Mashinji, CCM, Magufuli na Watanzania

    Asante sana Paschal Mayala kwa Makala yako ndefu, inayofikirisha na ambayo inahitaji uzamifu wa fikra kwa baadhi kuielewa. Nakubaliana nawe unaposema CHADEMA wanapaswa kushukuru. Ni kweli wanapaswa kumshukuru Mungu kwa yaliyotokea. Watesi wao walikuwa na ajenda mbaya sana iliyowageukia wenyewe...
  7. Kekofya

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mwl. Nyerere alishindwa kuhamia Dodoma?

    Ni kweli Mwalimu Nyerere alikuwa wa kwanza kuhamasisha Makao Makuu ya nchi kuhamia Dodoma. Nilikuwa mtu mzima wakati ule na nilikuwa Chuo na nilikuwa kada mtiifu wa TANU. Sababu alizozitoa zilikuwa nzito ambazo kwa kweli hakuna mwenye akili timamu kwa wakati ule angezipinga. Baadhi ya sababu...
  8. Kekofya

    JamiiForums Tanzania Askari mstaafu: Walichofanya Mdee na wenzake pale Segerea ni sawa na Gari kugonga Treni kwenye "Railway cross Road"

    Huyo ni mbumbumbu wa sheria. Hajui hata anachosema! Hawezi hata kusema ni kifungu kipi cha sheria kilichovunjwa! Isitoshe hata kama walifanya ghasia kama Magereza wanavyojaribu kujitetea, jukumu lao lilikuwa kuwadhibiti, kuwaweka chini ya ulinzi na kuwashtaki, si kuwapiga, kuwadhalilisha na...
  9. Kekofya

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

    Kumweka Magufuli kundi moja na kina Lumumba, Nkrumah, Nyerere, Thomas Sankara ni uzwazwa wa kiwango cha lami! Magufuli anaweza fananishwa na kina Mobutu, Bokassa, Kagame, Nkurunziza na labda Museveni. Magufuli hajafanya hata sehemu moja ya mia ya aliyoyafanya Nyerere. Na bado Nyerere...
  10. Kekofya

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai awapongeza Wakenya kwa kuonesha mubashara Vikao vya Kamati vya Bunge

    Kwa wenye akili huo ni uthibitisho wa kuwa Bunge la Tz haliendeshwi kwa Uhuru na maamuzi yote yanatolewa Ikulu, Bunge ni kupiga mhuri tu!
  11. Kekofya

    JamiiForums Tanzania Part 2: Mawaziri wadaiwa kuwa kwenye Payroll ya Misri

    Dah umetonesha kidonda! Historia itawahukumu.
  12. Kekofya

    JamiiForums Tanzania Sijaona popote pale wanajeshi wa Rwanda wakilinda Ikulu ya Tanzania wala Ukuta wa Mererani

    Sijui kwa nini unatumia nguvu nyingi kutetea hilo wakati wewe si Msemaji wa serikali! Wewe huna sifa za kukubali wala kukanusha. Watu hawawezi kutuhumu jambo lisilokuwepo kabisa. Mbona hawakufanya hivyo katika awamu zilizopita kama ya pili, tatu, nne hadi sasa ya tano? Ukweli ni kwamba Watutsi...
  13. Kekofya

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amteua Brigedia Jenerali Charles Mbuge kuwa Mkuu wa JKT, aliyekuwepo apelekwa Mgambo

    Mbona Hakuna "Demotion" hapo! CMG ni nafasi kubwa tu katika kamandi ya Kijeshi. Anabakia kuwa miongoni mwa ma "Chief" na wa JWTZ. Si kila mabadiliko ni kwamba sababu ya kuvurunda, hapana. Inawezekana Rais ameona aliyekuwa "Chief" wa National Service (CNS) angeweza kutumika vizuri zaidi kama CMG...
  14. Kekofya

    JamiiForums Tanzania Wakati sakata la Ndege halijakwisha, Symbion Power wameleta RB

    Aisee! Watatumaliza!
Back
Top Bottom