Kipindi cha mkwere watu walikua wanatumbua mihela walikua wanatumia na maisha yalikua mazuri lakini siku hizi wanatumbua hela hazionekani sijui wanazipeleka
Huyu mambo leo anaongea anatetemeka kama yupo chini ya ulinzi hivi ukiguswa na risasi unaweza ukafa kweli!au anaona aibu kusema "risasi iliyomuua akwilina"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.