Mkanye.....yaaani sio ya kukwepesha usiwe kama unamuomba ajirekebishe mkanye, mkemee vimba kiumee ajue hutanii. Akiendelea kuwa na kiburi wafuate wazazi wake (wakwe zako) nao uongee nao kwa heshima ila uwe umevimba ili wajue wapo serious.
Ukiweza kuwa convince wakwe zako kuwa upo serious...
Anytime mwanaume anapoamua kumpiga mke wake mimi kwa maoni yangu naona kuna mahali mwanaume kashindwa kutumia mamlaka yake kama kichwa cha familia kukemea huo ubaya alioona kwa mke wake hadi ikafika mahali kaona hamna namna acha nimbamize.
Mwanaume kama kichwa cha familia hapigi, he commands...
Ile issue anayokua nayo mwenza wako kabla ya ndoa inayokuboa ile unamwambia habadiliki, then unaamua muoane tuu bse no one is perfect ukitegemea maybe kwenye ndoa atabadilika. Mara nyingi hiyo issue ndio inakua root cause ya migogoro mingi kwenye ndoa.
Huyo dada ungemuacha tu kwenye uchumba...
Mhh aiseee nikupe pole sana ndugu! Kama walivyotangulia kusema kuna imani za kishirikina zinahusika kwa kiasi kikubwa sana hapo!
Kama ni mkristo na unamuamini Mungu ningekushauri ufunge hata kwa siku saba kumuombea mke wako huyo. Na hii ufanye wewe usimwambie mtu labda awe kiongozi wa dini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.