Recent content by KDwbel

  1. K

    Hakuna namna, Wamasai lazima wakubali kuondoka Ngorongoro kwa hiari yao

    tushangae wote mkuu vurugu zote hizo eti kuna mwekezaji ndo anamilikishwa kwani huko kwenye madini,gesi na mafuta hao wawekezaji wametuletea nini cha maana kama nchi mbali na wakubwa kulamba 10% zao tena wanapewa mikataba ya ajabu kweli si chini ya miaka 33 hadi 99! kwa afrika uongozi sio...
  2. K

    Nataka kumlipia Amber Heard Fidia ya $ 10 M kwa Johnny Depp

    duh! hatari kubwa,naona hii bangi ya leo umevutia makalioni..!
  3. K

    Kama upo ugenini na huna sehemu ya kulala fanya yafuatayo

    kwahiyo humo ndani ya club unaingia bure na kinywaji unapata bure maana umesema mwanzo wa mada"kama huna pesa"
  4. K

    Niko Tayari kumsaidia figo yangu Joseph Haule (Profesa Jay)

    Huwezi jua hapa anasema anatoa kwa mahaba yake lakini nyuma ya pazia ndio anatangaza biashara anauza hiyo figo
  5. K

    Yanga wanapendelewa sana! Ni uonevu kwa Simba

    kwa hizi data wewe hapa unazungumzia haki za matangazo ya televisheni
  6. K

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    kupandisha dau? au unamaanisha kupandisha bonus basi playmaster wako vizuri bonus hadi 500%
  7. K

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    mn mbona hio option ipo kampuni zote tazama hii ni sportybet portugal vs switzerland we gusa hapo kwenye "combo"
  8. K

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    hawasumbui mkuu wako fasta tu una deposit na kuwithdraw kwa tigo pesa, m pesa,halo pesa,airtel money mwenyewe kwa simu yako
  9. K

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    ila kuna baadhi ya option kuwa haziwekwi zote mapema mpaka masaa yasogee kidogo au wanakuja kuziweka masaa mawili au matatu kabla ya mechi kuanza kuwa na subira mkuu labda hadi jioni sana utazikuta tu
  10. K

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    cheki betika,sportybet,na pigabet
  11. K

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    sio kampuni zote mkuu labda hujamuelewa anamaanisha option ya GG or Under 2.5,(yes/no) GG or over 2.5,(yes/no) NG or Under 3.5(yes/no) GG or Under 4.5(yes/no) NG or over 4.5(yes/no) na hizi option utaziona sportybet,meridian,betika ila hawa wanaishia GG or over/under 2.5 alafu hawaweki hii...
  12. K

    Kuna jamaa sijawahi kumuona akipigiwa simu sasa sijui simu ya nini kuwa nayo

    kwahiyo hata akienda chooni unakuwa upo nae..
  13. K

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    dau linapanda mkuu likikosa mshindi pia wala hawajaongeza mechi nilivoelewa mimi kutakuwa na jackpot kama tano hivi za mechi 13,14,15,16,17 wewe sasa ndo utachagua utakayo uicheze ipi zote hizo stake tsh.1000 tu hyo ya mechi 17 wim yake 1billion,mechi 16 win yake miilion 750, mechi 15 win yake...
  14. K

    Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

    hata kama story yake sio ya kweli wewe inakuuma nini si inamuhusu yeye tunakuona tangu page ya kwanza hadi hii 52 umeshika bango na kung'ang'ania hii story ya uongo na bado unalazimisha wote humu tuamini au tuwe na mtizamo unavyotaka wewe! na zaidi huna hoja ya maana unaimba tu kama kasuku lete...
  15. K

    Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

    we nae mtoto wa mama kula kulala hujawai kupita kwenye msoto uone dunia ilivyo hii story anayosimulia hapa yote anayoeleza yametokea 2020 ndo ametoka maliza form six ila wewe unalinganisha na story ya kutongoza wanafunzi 50 darasani chuoni anakosoma ambayo ni mwaka huu 2022 acheni ujuaji watoto...
Back
Top Bottom