tushangae wote mkuu vurugu zote hizo eti kuna mwekezaji ndo anamilikishwa kwani huko kwenye madini,gesi na mafuta hao wawekezaji wametuletea nini cha maana kama nchi mbali na wakubwa kulamba 10% zao tena wanapewa mikataba ya ajabu kweli si chini ya miaka 33 hadi 99! kwa afrika uongozi sio...
ila kuna baadhi ya option kuwa haziwekwi zote mapema mpaka masaa yasogee kidogo au wanakuja kuziweka masaa mawili au matatu kabla ya mechi kuanza kuwa na subira mkuu labda hadi jioni sana utazikuta tu
sio kampuni zote mkuu labda hujamuelewa anamaanisha option ya
GG or Under 2.5,(yes/no)
GG or over 2.5,(yes/no)
NG or Under 3.5(yes/no)
GG or Under 4.5(yes/no)
NG or over 4.5(yes/no)
na hizi option utaziona sportybet,meridian,betika ila hawa wanaishia GG or over/under 2.5 alafu hawaweki hii...
dau linapanda mkuu likikosa mshindi pia wala hawajaongeza mechi nilivoelewa mimi kutakuwa na jackpot kama tano hivi za mechi 13,14,15,16,17 wewe sasa ndo utachagua utakayo uicheze ipi zote hizo stake tsh.1000 tu hyo ya mechi 17 wim yake 1billion,mechi 16 win yake miilion 750, mechi 15 win yake...
hata kama story yake sio ya kweli wewe inakuuma nini si inamuhusu yeye tunakuona tangu page ya kwanza hadi hii 52 umeshika bango na kung'ang'ania hii story ya uongo na bado unalazimisha wote humu tuamini au tuwe na mtizamo unavyotaka wewe! na zaidi huna hoja ya maana unaimba tu kama kasuku lete...
we nae mtoto wa mama kula kulala hujawai kupita kwenye msoto uone dunia ilivyo hii story anayosimulia hapa yote anayoeleza yametokea 2020 ndo ametoka maliza form six ila wewe unalinganisha na story ya kutongoza wanafunzi 50 darasani chuoni anakosoma ambayo ni mwaka huu 2022 acheni ujuaji watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.