Noma sana, haya maisha banna, jamaa ni mtu mwema sana, tena mwenye utu....kazi yake ya afisa polis mpelelezi imesababisha watu kufraia kifo chake.......Afande Frady Ngatunga hayawai kua mkatili au kua na baya na mtu......
hata watoto naona wamekwepa kutaja idadi!....
Bi STELLA tayari kesha zidiwa kete, maana hatambuliki popote, ila uzuri wake yeye ndie alie zaa na ndugai watoto watatu, ila Bi Fatuma hakubahatika kuzaa na Ndugai.
Ukiweka Dini pembeni hakuna kosa kubwa liliofanywa na Viongozi wa Hamasi kuishambulia israel!!!! Viongoz wao wote wamekufa, famia zao, wananch wao, majengo na miji..... sasa wamebaki kama wakimbizi na Gaza haiwezi kua sawa tena. I mean haiwezi kua mikononi kwa Hamasi tena
Duh....hivi unajua vifaa vingi vya kivita Iran anatumia vya USA na Russia?....ndege za kivita karibia zote za Iran alinunua USA miaka 40 iliyopita, kuna ambazo alinunua Russia, Vifaa vya kulinda Anga vyote kanunua Russia.
Mtu arusha makombora 300 yanayo lenga tageti ni mawili tu tena apartment za watu.....ni vile Iran hakuna uhuru wa vyombo vya habari na hakuna internet, laiti picha za Tehran zingerushwa....ndio ungejua kuachia acha yako uchi kwenye vita vya anga ni kujimaliza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.