Muda mwingine,matatizo yako usiyalinganishe na ya mwenzio.
Ila kikubwa inatakiwa kusaidiana majukumu.
Matatizo na breakdown ni nyingi katika maisha ya binadamu.
Jiulize,kwani ndoa zoote za waliooa ambao sio waajiriwa je zina amani zote?.
Kikubwa bajeti zenu.
Ila ukosefu wa kipato sio mzuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.