Habari watanzania
Kumekua na wimbi la wasanii wa filamu TZ kutangaza nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi, mfano we Sepetu anagombea ubunge viti maalum kupitia CCM, Steven Nyerere jimbo la Kinondoni kupitia CCM na wengine wengi sana.
Swali langu ni kwa nini bongomovie wengi ni CCM...
Juliana shoza, unakumbuka ulikua unacheo gan cdm 2010, naamini na ww ulishiriki kumpokea shibuda. Kwa sasa achana na cdm jenga chama chako au kama bado unaipenda cdm bas omba msamaha rud uwe mwanachama wa kawaida na ujipange zaid.
Nimekaa nakutafakari sana. Ukweli ulio wazi Lowasa hana sifa za kuongoza taifa letu ni nguvu ya pesa aliyonayo na hi ni kutokana na vijana wengi njaa tu inawasumbua, kuna wanaccm walio makini kweli na wanajua jamaa hana sifa za kuwa rais wa nchi hii. Swali langu ni je lowasa akikatwa jina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.