Recent content by Kazi maalum

  1. K

    Sasa kumekucha uchukuaji fomu za Ubunge, Wasanii wajiapiza

    Habari watanzania Kumekua na wimbi la wasanii wa filamu TZ kutangaza nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi, mfano we Sepetu anagombea ubunge viti maalum kupitia CCM, Steven Nyerere jimbo la Kinondoni kupitia CCM na wengine wengi sana. Swali langu ni kwa nini bongomovie wengi ni CCM...
  2. K

    Zitto apokelewa kifalme jimboni kwa Kafulila, Ahutubia maelfu ya wananchi

    Wamewah kuja kumchek punda mpenda sifa.
  3. K

    Uandikishaji BVR Osunyai Arusha

    Apigwe tu huyo.
  4. K

    Zitto azomewa Bukoba

    Amekoma, watakuja kukanusha hapa ndungu zake.
  5. K

    ACT - Wazalendo Mbozi, yazidi kutoboa

    unaota ndoto za mchana juani.
  6. K

    John Magale Shibuda: Kilio cha samaki

    Juliana shoza, unakumbuka ulikua unacheo gan cdm 2010, naamini na ww ulishiriki kumpokea shibuda. Kwa sasa achana na cdm jenga chama chako au kama bado unaipenda cdm bas omba msamaha rud uwe mwanachama wa kawaida na ujipange zaid.
  7. K

    Moses Machali amtaka Zitto kuwa na nidhamu

    Upuuzi kama huu! Ulisha wekwa na ukakanushwa na wa husika bado hamkomi tu.
  8. K

    January Makamba na Edward Lowassa uso kwa uso Mbeya wakati wakisaka wadhamini

    Nimekaa nakutafakari sana. Ukweli ulio wazi Lowasa hana sifa za kuongoza taifa letu ni nguvu ya pesa aliyonayo na hi ni kutokana na vijana wengi njaa tu inawasumbua, kuna wanaccm walio makini kweli na wanajua jamaa hana sifa za kuwa rais wa nchi hii. Swali langu ni je lowasa akikatwa jina...
  9. K

    Hii ndo tatu bora ya wagombea wa CCM

    we kichaa kweli, hyo post imeandkwa na cdm.
  10. K

    UV-CCM imepotelea wapi?

    Ni mifupa saiv walsha kufa miaka mitatu iliyopita
  11. K

    ACT Wazalendo Kimara Matangini tarahe 6/06/2015

    ni bora kuwa na mahaba na chadema kuliko Acht.
Back
Top Bottom