Recent content by Kazi iendeleeeee

  1. Kazi iendeleeeee

    Uganda: Rais Yoweri Museveni apuuzia kuhusu nchi yake kuondolewa kwenye mpango wa AGOA

    Tena uko uarabun ugusi na kupigwa mawe unapigwa Iran mpk leo mtoto wa kike usivae juba tu Cha moto utakiona
  2. Kazi iendeleeeee

    Uganda: Rais Yoweri Museveni apuuzia kuhusu nchi yake kuondolewa kwenye mpango wa AGOA

    Naam ayo NDo maneno tatzo sisi mandume la kuwili atuna msimamo nipemenda kauli yake ya juz kama amtak kutupa Hela sawa bakin nazo pale alipo wajibu bank ya Dunia
  3. Kazi iendeleeeee

    Uganda: Rais Yoweri Museveni apuuzia kuhusu nchi yake kuondolewa kwenye mpango wa AGOA

    Nabisha ilo Mzee mwezang anagalia izo nchi ulizataja wakuu wa jeshi ni na nan wote wameweka watoto zao MUSEVEN anadili na rusia katika biashara zake ambae adui mkubwa wa Amerika
  4. Kazi iendeleeeee

    Uganda: Rais Yoweri Museveni apuuzia kuhusu nchi yake kuondolewa kwenye mpango wa AGOA

    Rais wa Uganda Yoweri Museveni amepuuzilia mbali wasiwasi wake kuhusu kuondolewa kwa nchi yake katika mpango maalum wa kibiashara wa Marekani na Afrika,AGOA. Wiki iliyopita, Rais wa Marekani Joe Biden alisema Uganda na nchi nyingine tatu za Kiafrika zitaondolewa kwenye mkataba wa (Agoa), akitoa...
  5. Kazi iendeleeeee

    Kwa hizi behewa mpya za treni, tuendelee kudai Katiba Mpya

    Acha tuendelee kuongea sio mazuzu Asaiv kama zaman
  6. Kazi iendeleeeee

    Kwa hizi behewa mpya za treni, tuendelee kudai Katiba Mpya

    Kampuni tanzu kampuni ya Eurowagon kutoka uturuki iliyopewa tenda hayat John Pombe Magufuli kutengeneza reli na mabewa iliondolewa na kuletwa kampuni kutoka China Korea kusini ambazo zimeleta izi bewa na na lijua Aya yatatokea bewa zilizo wasili pale bandarin hakuna mtanzania aliependa hata za...
  7. Kazi iendeleeeee

    Afariki baada ya kuanguka chooni kwa kupigwa stroke

    Usilete mjadala usio na mantiki Kwa kumtaja raisi wetu mbwa ww muache apumzike Kwa aman Uko alipo ulitaka afanywe nn aachwe huru andelee Kula Kodi zetu lete mada ya kueleweka tuchangiane mawazo.
  8. Kazi iendeleeeee

    Mahojiano ya Mkurugenzi Mkuu TANESCO ni usanii mtupu

    Unatak Unataka abane uhuru Gani ww uoni ivi sasa Wana Habar wanavyingia sekta nyeti Kwa hili mama tumpongeze Tu ila Kitu kimoja ukali Ana iyo ndio shida
  9. Kazi iendeleeeee

    Mahojiano ya Mkurugenzi Mkuu TANESCO ni usanii mtupu

    Izi nasikia Kwako kumbe alikua msambazaj DStv 😳😳😳😳
  10. Kazi iendeleeeee

    Mahojiano ya Mkurugenzi Mkuu TANESCO ni usanii mtupu

    Wanatuchukulia poa sana awa jamaa jibu kuhusu mapanga eti ni makubwa sana Uyu jamaa vp nao wahariri Sijui mambumbu Wakat ata YouTube tunaona feni la kawaida sana ata ist inaweza beba ni nonsense tupu
  11. Kazi iendeleeeee

    Nchi ya ovyo sana hii umeme hakuna, maji yanatoka kwa mashaka

    Una kopi na kupest ayo maneno ya awo viongoz wako
  12. Kazi iendeleeeee

    Nchi ya ovyo sana hii umeme hakuna, maji yanatoka kwa mashaka

    Dah 😪 leo mmeangalia mswali na majibu wahariri na tenesco majibu tuliyowepo acha tu
  13. Kazi iendeleeeee

    Nchi ya ovyo sana hii umeme hakuna, maji yanatoka kwa mashaka

    Embu achen kutus viongoz BaSi mbon mna mihemko
Back
Top Bottom