We oa wana uzoefu na maisha na akili zao huwa zimetulia hawana utoto na akizingua mpige chini asubui tu. Mimi mama yangu aliolewa singo maza, baba mkwe alioa singo maza tena wote wake wawili aliwaoa wakiwa singo mama na hadi sasa wote wana hadi wajukuu
Shida waajiri wengi wana expectation kubwa, job descriptions page nzima ila mshahara laki 5 lazima wapate vilaza, majukum yakiwa mengi na mshahara uwe mwingi. Kuna sehem nilishangaa wanataka mhasibu mwenye uzoefu miaka 5 na cpa na jd page nzima ila mshahara laki 6 au 8, hapo lazima upate trash...
Mkuu chukua milioni 20 jenga nyumba ya kawaida kabisa ya vyumba viwili kisha milioni 3 hadi 5 ingia shambani lima kisasa mazao ya biashara kama mpunga au mahindi. Milioni 5 ukiwa sirias na kusimamia mwenyewe shamba hukosi milioni 10 hadi 15 kwa msimu, mwisho nunua ist used ya milioni 7hadi 8...
Mtafute huyo dada ambaye ni mke wa mtu, mkae akueleze vizuri kisha kama ana ushahidi akupe na kama hana mtafute, tena ushahidi usio na shaka, ama mtege fumanizi mumfumanie kisha piga picha na video kisha wewe kaka uliyeletea hizo taarifa uamue usuke ama unyoe. Pia kumpoza huyo dada machungu na...
Sababu inaweza kuwa mahari ni kubwa sana au baada ya barua mchumba kakengeuka mfano kamfumania, bwana amegundua ana tabia mbaya mfano kudanga, ulevi, uchoyo, uchawi, ugomvi. Pia labda bwana kapata mchumba bora zaidi au hata karogwa na dem mwingine, mambo ni mengi mda mchache.
Kweli kuna ndugu yangu anafanya kazi shule moja ya awali ipo mikocheni inaitwa lexis, nilijitia kihelehele kutaka kumpeleka mwanangu akaniambia hii shule ada yake huiwezi kwanza wanaosoma hapo ni watoto wa mabalozi, mawaziri na madoni kucheki ada nursery tu ni usd 3500 kwa mwaka halafu ni day...
Mkuu pole sana hapo ametingisha kibiriti na kukuona anakumudu au anakuweza sifa ya mume unatakiwa uwe hautabiriki. Chakufanya mpuuze Ila hakikisha unatimiza mahitaji yote Kama mume, kisha anza kumpiga Matukio Kama yote Kama kuchelewa Sana kurud siku nyingine la-la hukohuko, Tafuta michepuko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.