Recent content by kayimukaa

  1. K

    Ushawahi kufukuzwa au kumfukuza mtu nyumbani kwako kisa umemnyima au kunyiwa mbususa

    Mimi mwenyewe iliwahi nitokea, tongoza manzi kakubali anakuja geto ila gemu hatoi ila Kila kitu anakupa kasoro mambo, wiki ya kwanza nikavunga nikajua labda too early, wiki ya pili kaja kagoma nikajaribu kufosi ila nikaona naweza fosi nikala Kisha asije Tena nika retreat, ila baada ya hapo...
  2. K

    Wazoefu nipeni ABC Niko pekeangu na wife anakaribia kujifungua

    Nunua vifaa vya kujifungulia kama kanga, vitenge, gloves, n.k pia mtoto akizaliwa kuna vitu pia vya kununua kama babyshow, beseni, kofia soksi, vinguo, chupa ya chai na mtori, pia uwe na akiba kidogo ukiondoa hivyo akiba kama ya laki 2 had 3, kuna vigharama vya ajabu vinaingezekaga kama...
  3. K

    Wanaojua magari Naomba kujua changamoto za Toyota Sienta

    Chukua pro box au suceed, mi niba sienta mwaka wa 4 huu, ila naitumia kwa misele ya dar na maramoja moja naruka nayo mikoani, moro, dom, arusha. Changamoto zake rough road haipendi sana, pia ikijaa inashuka sana na kuharibu bampa hasa nyuma, pia mlango wa kati sliding door hauna maisha na siti...
  4. K

    Nini msingi wa Mahabusu kujisaidia kwenye ndoo?

    Mahabusu ya kawe ina choo ila hakina mlango wala faragha yoyote, pia ni kichafu had sinki la choo limekuwa jeusi, kuna bomba ila halitoi maji, kuna dumu la lita 20 ila halina maji hata tone, hamna kopo la kunawia wanatumia chupa za maji ya kunywa kunawia na kubwa kabisa ni hicho choo kimejaa...
  5. K

    Niombeeni nimechaguliwa kwenda Congo kuwaondoa m23 kundi letu linaondoka Jumanne

    Hongera sana mkuu kwa kuaminiwa hadi kuchaguliwa kwenda mission, uzuri ukikaa huko miezi 3 hela unazopata ni zaidi ya mshahara wa mwaka na nusu ukiwa haujachaguliwa, kikubwa urudi salama panapo majaliwa afande
  6. K

    Kuibiwa kusikie tu

    Siku nyingine ukiwa na hela nyingi usipande daladala na usitembee umbali mrefu kwa miguu, ni mwendo wa boda au uber au bolt. Pia ukiwa na hela na usalama mdogo weka hela kwenye tigo pesq au mpesa, bora upate hasara ya buku 5 kutoa hio laki 3 kuliko kuipoteza yote
  7. K

    Waendesha magari ya Bolt changamoto zipi mnazokutana nazo katika hiyo kazi?

    Naam mkuu changamoto ni magari ya tax mtandao yamekua mengi kila mtu anataka hiyo kitu ingawa kama unanunua gari usinunue ist au vits bali chukua sienta au wish ina xl ambazo ni chache, pili vibali vingi kuanzia leseni, bima,latra,tra, mwisho ni kaz ambayo inabidi ajitoe hasa maana faida yake ni...
  8. K

    Baadhi ya majina ya maeneo duniani na namna yanavyotamkwa

    Wifi inatamkwa Waifay na sio Wifi Tyre inatamkwa Tayer na sio tair
  9. K

    Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

    We oa wana uzoefu na maisha na akili zao huwa zimetulia hawana utoto na akizingua mpige chini asubui tu. Mimi mama yangu aliolewa singo maza, baba mkwe alioa singo maza tena wote wake wawili aliwaoa wakiwa singo mama na hadi sasa wote wana hadi wajukuu
  10. K

    Je, Leseni hii inaruhusu kujisajili kama dereva wa Bolt, Uber au Faras?

    Hello mkuu, hautaweza, wanataka daraja c iwe c3, c2, c1 au c plane
  11. K

    HR, Waajiri walalamika wahitimu ni weupe vichwani

    Shida waajiri wengi wana expectation kubwa, job descriptions page nzima ila mshahara laki 5 lazima wapate vilaza, majukum yakiwa mengi na mshahara uwe mwingi. Kuna sehem nilishangaa wanataka mhasibu mwenye uzoefu miaka 5 na cpa na jd page nzima ila mshahara laki 6 au 8, hapo lazima upate trash...
  12. K

    Hivi ndivyo itakavyokuwa pale unapoanza kufa

    Na ile hali ya mtu kuangaika na kurusha miguu na kutapatapa kinatokeaga nini
Back
Top Bottom