Recent content by kayimukaa

  1. K

    Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

    We oa wana uzoefu na maisha na akili zao huwa zimetulia hawana utoto na akizingua mpige chini asubui tu. Mimi mama yangu aliolewa singo maza, baba mkwe alioa singo maza tena wote wake wawili aliwaoa wakiwa singo mama na hadi sasa wote wana hadi wajukuu
  2. K

    Je, Leseni hii inaruhusu kujisajili kama dereva wa Bolt, Uber au Faras?

    Hello mkuu, hautaweza, wanataka daraja c iwe c3, c2, c1 au c plane
  3. K

    HR, Waajiri walalamika wahitimu ni weupe vichwani

    Shida waajiri wengi wana expectation kubwa, job descriptions page nzima ila mshahara laki 5 lazima wapate vilaza, majukum yakiwa mengi na mshahara uwe mwingi. Kuna sehem nilishangaa wanataka mhasibu mwenye uzoefu miaka 5 na cpa na jd page nzima ila mshahara laki 6 au 8, hapo lazima upate trash...
  4. K

    Hivi ndivyo itakavyokuwa pale unapoanza kufa

    Na ile hali ya mtu kuangaika na kurusha miguu na kutapatapa kinatokeaga nini
  5. K

    Nimeenda Chanika. Ni mbali sana, mnaokaa huko mpewe maua yenu

    Na sie tunaokaa kisemvule, dundani na mkuranga tusemaje
  6. K

    Kwa milioni 18 napata gari gani nzuri?

    Chukua toyota raum au toyota sienta hautajilaumu
  7. K

    Nijenge au nifanye biashara kwa akiba ya Tsh milioni 35

    Mkuu chukua milioni 20 jenga nyumba ya kawaida kabisa ya vyumba viwili kisha milioni 3 hadi 5 ingia shambani lima kisasa mazao ya biashara kama mpunga au mahindi. Milioni 5 ukiwa sirias na kusimamia mwenyewe shamba hukosi milioni 10 hadi 15 kwa msimu, mwisho nunua ist used ya milioni 7hadi 8...
  8. K

    Nimeletewa Kesi: Mke wangu anatoka kimapenzi na Mume wa Mtu

    Mtafute huyo dada ambaye ni mke wa mtu, mkae akueleze vizuri kisha kama ana ushahidi akupe na kama hana mtafute, tena ushahidi usio na shaka, ama mtege fumanizi mumfumanie kisha piga picha na video kisha wewe kaka uliyeletea hizo taarifa uamue usuke ama unyoe. Pia kumpoza huyo dada machungu na...
  9. K

    Inakuwaje mtu anatoa posa then anapangiwa mahali halafu anapotelea mitini? (Haoi)

    Sababu inaweza kuwa mahari ni kubwa sana au baada ya barua mchumba kakengeuka mfano kamfumania, bwana amegundua ana tabia mbaya mfano kudanga, ulevi, uchoyo, uchawi, ugomvi. Pia labda bwana kapata mchumba bora zaidi au hata karogwa na dem mwingine, mambo ni mengi mda mchache.
  10. K

    Nichukue hatua gani kwa huyu shemeji yangu, kashakuwa mwiba kwenye ndoa yangu

    Shemeji akijilengesha unapita nae tu, kikubwa awe na siri na asinogewe mwisho mkafumwa.
  11. K

    Tusiwabeze wanaosomesha watoto shule za Tsh. Milioni 40

    Kweli kuna ndugu yangu anafanya kazi shule moja ya awali ipo mikocheni inaitwa lexis, nilijitia kihelehele kutaka kumpeleka mwanangu akaniambia hii shule ada yake huiwezi kwanza wanaosoma hapo ni watoto wa mabalozi, mawaziri na madoni kucheki ada nursery tu ni usd 3500 kwa mwaka halafu ni day...
  12. K

    Kwa wale wanaofahamu mishahara kampuni melt group ya mwamed interprise

    Nafasi gani mkuu accountant ama nyingine
  13. K

    Wakuu, mke wangu nimemchoka

    Mkuu pole sana hapo ametingisha kibiriti na kukuona anakumudu au anakuweza sifa ya mume unatakiwa uwe hautabiriki. Chakufanya mpuuze Ila hakikisha unatimiza mahitaji yote Kama mume, kisha anza kumpiga Matukio Kama yote Kama kuchelewa Sana kurud siku nyingine la-la hukohuko, Tafuta michepuko...
Back
Top Bottom