Aisee wabongo tatizo letu tunajidai kujua kila kitu..nadhani na ofcoz kutakuwa na sababu nyingine and possibly they were receiving fund from donors ambayo haikuwa ktk interest ya gvt.
Ni simple tu unaenda pale na mwenzi wako mnajaza form na mnalipia around elfu hamsini tu...akaunti namba utapewa huko...baada ya hapo mnasubiri siku 21 mtapangiwa siku ya kwenda,then siku mnaenda na wawakilishi ka ni walezi au wazazi yani wewe na mwenzio kila mtu anaenda mwakilishi mnakula kiapo...
Mie sioni shida Lowassa alipokuwa kwao aliongea kimasai/kimeru,tatizo naliona ni namna hali ya siasa ilivyo nchini,mie sina chama ila ukiangalia haya matamko ya kuzuia maandamano na mikutano ya kisiasa madhara yake ni ndio haya,leo Tanzania inaanza kuongelea ukabila...wanasiasa si watu wa mchezo...
Tatizo nalo liona hapo kama TISS watapewa uhuru mnaoutaka kunahatari kubwa ya kumJFKennedy rais incase ametofautiana na interest yao...ni muhimu kazi za usalama zikabaki kama zilivyo kwa usiri na ushauri kwa executive..beyond that tutakuwa na muhimili mwingine wa nne,nilivyomuelewa mheshimiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.