Nape: Usalama wa Taifa hausaidii nchi, wamekalia kusikiliza simu za watu

Wengi wao ni wapuuzi sana, kazi kujisifia tu, eti unanijua mimi ni nani.... So what, ili iweje... Na ukweli wamebakiza uzinzi na kuwafuatilia vyama vya upinzani hususan Chadema as if hao ndio victim wa ukuaji WA uchumi, as if chadema ndio wanaofisadi mali za nchi hii...
Yaani leo kazi ya usalama wa taifa ni kufuatilia mikutano ya chadema na maandamano.
Thibitisha
 
Shida ni habri zinazotafutwa ndo hazina tija. Naamin kabsa usalama wa taifa saiv hao TISS wanahangaika usiku na mchna kimkamata mange kimambi.
 
Usalama wa taifa wanafanya kazi isiyo na matunda sasa unaishia kushauri je wakikataa kuchukua ushauri wako unafanyeje?? Hivi Rais katokea CCM ambao hao hao ndio wameingua mikataba mibovu alafu unamshauri eti mkataba ni mbovu sasa hapo unategemea atachukua ushauri wowote

Umefika wakati TISS iwe huru ikiwezekana hata mkurugenzi wake asiteuliwe na Rais ifanye kazi kwa kujitegemea kma ile ya Australia ili iogopeke hata na wanasiasa maana kwa staili hii ya kushauri shauri tu viongozi hao hao waliotufikisha hapa hakuna mabadiliko ya maana yatakuja

Sheria ya TISS ifanyiwe mabadiliko
Hapo hatari yake naona wanaweza wakam JFKennedy rais wetu,ukiwapa uhuru unaoutaka.
 
Tatizo nalo liona hapo kama TISS watapewa uhuru mnaoutaka kunahatari kubwa ya kumJFKennedy rais incase ametofautiana na interest yao...ni muhimu kazi za usalama zikabaki kama zilivyo kwa usiri na ushauri kwa executive..beyond that tutakuwa na muhimili mwingine wa nne,nilivyomuelewa mheshimiwa nape kwamba usalama wa taifa wapewe meno ya kushauri na execution ya mambo ambayo wakishauri hayafanyiwi kazi...hii itakuwa ni hatari considering the type of constitution we have nw...wanafanya kazi nzuri tuwatie moyo
 
Tatizo nalo liona hapo kama TISS watapewa uhuru mnaoutaka kunahatari kubwa ya kumJFKennedy rais incase ametofautiana na interest yao...ni muhimu kazi za usalama zikabaki kama zilivyo kwa usiri na ushauri kwa executive..beyond that tutakuwa na muhimili mwingine wa nne,nilivyomuelewa mheshimiwa nape kwamba usalama wa taifa wapewe meno ya kushauri na execution ya mambo ambayo wakishauri hayafanyiwi kazi...hii itakuwa ni hatari considering the type of constitution we have nw...wanafanya kazi nzuri tuwatie moyo
Wacha wamKennedy maana interest yao ndo itakuwa interest ya nchi tofauti na sasa
 
CWR2016 ,
Mkuu
Comment yako namba # 336 umeniweka kwenye Cc.tag /mentioned me.

Ni kweli hata Hayati Mwl. Nyerere , alisema haya mambo siyo vitabu vitakatifu kuwa hayabadiliki.

Inawezekana sana kufanya mabadiliko na maboresho yote yanayopendekezwa ila pana matundu mengi.
Nikiandika kuwa pana matundu mengi naomba tu ujitahidi kuelewa hivyo kuwa ni matundu kama ya wavu / net ambayo siwezi kuandika kwenye social media au kumwambia yeyote.

Naomba niishie hapo mkuu.
 
CWR2016 ,
Mkuu
Comment yako namba # 336 umeniweka kwenye Cc.tag /mentioned me.

Ni kweli hata Hayati Mwl. Nyerere , alisema haya mambo siyo vitabu vitakatifu kuwa hayabadiliki.

Inawezekana sana kufanya mabadiliko na maboresho yote yanayopendekezwa ila pana matundu mengi.
Nikiandika kuwa pana matundu mengi naomba tu ujitahidi kuelewa hivyo kuwa ni matundu kama ya wavu / net ambayo siwezi kuandika kwenye social media au kumwambia yeyote.

Naomba niishie hapo mkuu.
Ahsante mkuu Poise mimi nakuelewa sana. Tuendelee kuipenda nchi yetu. Huenda ikatokea tukawa ktk nafasi ya kurekebisha haya tunaoyaona.
 
Utajuaje kama wamepwaya wakati kazi zao ni invisible mkuu?
Utajua kuwa wamepwaya kwa kuona deals kama Richmond,pea,escrow zinaendelea kupigwa tu..pia issue kama za kununua ndege kwa cash huku kuna migogoro ya malipo na makampuni kibao na kusababisha ndege hizo kushikwa moja baada ya nyingine ni kashfa kubwa!
 
Kama siyo usalama wa taifa hayo uliyo yataja usinge yaskia kiongozi,

Usalama wa taifa huwezi kuwalaumu, hamna mwenye ushahidi kama ishu ya escro hakuwakutoa taarifa sehemu husika,

Ishu ni viongozi wakuu wa serikali na mawaziri kuwa sehemu ya wapiga deal hao ndiyo wa kuwalaumu kwa kupewa taarifa na kuziweka kapuni
Kama walitoa ushauri na haukufanyiwa kazi basi itabidi ipewe meno ili isiishie hapo pa kushauri tu
 
Nape hajui kitu ktk masuala ya ulinzi anaamin ktk siasa anadhani ulinzi was taifa hili unatokana na hoja za kisiasa apelekwe koz hata ya jesh ndo atajua utofauti wa siasa na kazi za majeshi
 
Ukiona Tukio lolote Kubwa limefanyika na SIRIKALI inasuasua katika kukamata waliohusika basi jua kwamba WATU WASIOJULIKANA Wamefanya Yao....Watu wasiojulikana ndio hao waliompiga Lissu Risasi,Waliomtupa Ben saanane kwa CHATU,Waliomtolea Nappe bastola etc

Hauwezi kufanya Tukio lolote bila kuacha trace,vyombo vya uchunguzi vinachunguza trace mpaka wanakuja kukukamata,Tukio la kupigwa risasi Lissu limeacha trace kubwa sana mpaka mtoto mdogo anajua nani anayehusika.

Tatizo watakelezaji wa mipango ya mauaji wengi ni MABASHITE aka Zero brain,wanafanya mambo kiboya mfano Kutekwa kwa Ulimboka yaani unampigia simu mtu ambaye unayetaka kumteka tena kwa line ambayo ina jina lako kabisa,hayo mambo hayo US hakuna,kule ukileta UBASHITE Maniggaz wanakumiminia NJUGU tu,freedom of speech,Tanzania ukitoa maoni ya kuhusu sirikali unaonekana mchochezi,sio mzalendo unahatarisha amani na vitu vinavyofanana na hivyo.

Kutekana tekana ni USHAMBA, hivi tangia watu watekwe na kuuawa,imesaidia kupunguza wakosoaji wa serikali? Ukimtuliza Roma ataibuka Mange,Ukimfunga Yericko ataibuka Jason Bourne,Ukimpoteza Malisa ataibuka Ngangali,je utapoteza watu wote sasa? Sirikali isichukulie kila mkosaiji wa serikali ni mchochezi kuna mambo serikali isikilize wapinzani,kwa mfano ununuzi wa Bombadia,ujenzi wa chato airport serikali imechemka,utanunuaje bombadia wkati watu wanakunywa maji machafu? Umeme tu huko DSM kuna sehemu nyingine bado haujafika,Shule watoto wanasomea chini ya miti,hospitali hakuna madawa,sitaki kusema kwamba watendaji wanamdanganya raisi kama BASHITE anavyosema si kweli,BAJETI wanayopeleka ni ndogo,Vipaumbele kwenye miradi ambayo nao wanapiga 20% ndio wanayoifanya ambayo 90% haiwasaidii wananchi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom