Kuna mwaka nilienda mkoa nikafikia kwa blaza alikua anaishi na mke wake, watoto wawili na beki tatu, mimi na blaza tulikua tunaenda vzr kabisa, nilikua nawahi kurudi home nakuta wenye nyumba hawajarudi yuko dada tu na watoto, kusema kweli yule mtt wa kirangi alikua vizuri sana slowly tukaanza...
Hawa viongozi wa dini ni kundi lingine la madalali wanaotumika kuuza rasilimali za taifa wakitoka hapo wanapewa posho wakasambaze ujinga kwa waumini wao
Kusema ukweli wabongo nje ya nchi ni wanafki sana na hawapendi kuona mwenzao anaexcel especially uwe umewakuta, ushauri ukifika ughaibuni ni mara millioni uishi na watu West Africa kuliko waswahili watakuchoma, hata demu usichukue mbogo
Waislam wanaoa usiku wanaacha asbh na 90% ya talaka hawagawani mali na hata wasipoachana wako na option ya kuongeza wake hadi wanne sasa utamlazimishaje kijana aoe ndoa zenyewe kuachana hadi mtu afe? na mademu wa kikristo kwa kukimbilia mahakamani kugawana mali ndo ishakua fasheni, acheni vijana...
Kama utakua sio mwajiliwa mwenye mshahara wa tgsb basi unaishi kwa shemeji yako huna biashara yeyote hulipi hata bili ya maji, kwa mtu anayeuza hata maji na sigara za kutembeza asingeandika upumbavu huu.
Juzi kati nilikua nimekaa sehem flani mitaa ya sinza ikawa imekuja noah flani ndani ina watu wanne dereva na abiria watatu mmoja kati yao ni demu mkali, mmoja wa wale watu akawa ameshuka akaja tulipokaa alikua anafahamiana na mmoja wa washkaji niliokua nao, tumekaa pale tunapiga stori muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.