Recent content by Kaya Nogu Sabho Ndamu

  1. Kaya Nogu Sabho Ndamu

    Mali zote za ulaya ni za Afrika

    Jamani niko UFARANSA, hivi hawa jamaa walipata wapi mali zote hizi na kujenga majengo mazuri namna hii. kama wamasai wanavyosema ng'ombe zote duniani zao. Mimi nasema mali zote za ulaya ni zetu. kingine naona Africa tuungane labda tutaivisha. Tuache roho za mtima nyongo, mmoja mmoja mpaka...
  2. Kaya Nogu Sabho Ndamu

    Tujadili nafasi na sheria za kuwa lecturer Tanzania

    Mzee hii signature inanikumbusha mtu mmoja anaitwa George Whitefield ()
  3. Kaya Nogu Sabho Ndamu

    Tujadili nafasi na sheria za kuwa lecturer Tanzania

    Mzee nazani wangekuwa wana compute GPA kwenye masomo specific. Sio Kiswahili, Geography, historia, michezo, physics, mathematics, chemistry. Cha msingi kabisa mi naona kama mtu ana A ya mathematics na anauwezo wa kufundisha mathematics basi afundishe
  4. Kaya Nogu Sabho Ndamu

    Tujadili nafasi na sheria za kuwa lecturer Tanzania

    Hapana mi ni mtanzania. Ila ninajitahidi kuona mambo kwenye four Dimension
  5. Kaya Nogu Sabho Ndamu

    Tujadili nafasi na sheria za kuwa lecturer Tanzania

    Hapo ni kweli ila tunaangalia watoto wetu, wanatakiwa kufundishwa na watu wenye sifa nzuri ambazo haziwi detected na GPA pekee
  6. Kaya Nogu Sabho Ndamu

    Tujadili nafasi na sheria za kuwa lecturer Tanzania

    hasa kama mtu kasoma mzumbe au st john nasikia wanapata hadi GPA ya 5, haya mambo yanahitaji uchunguzi tusichukulie mzaha
  7. Kaya Nogu Sabho Ndamu

    Tujadili nafasi na sheria za kuwa lecturer Tanzania

    Ndio hivyo nazani ni mpango wa wazungu kuua elimu ya bongo. Kwao hawaangalii haya mambo ya GPA ya undergraduate, wanacho angalia mtu anajiweza na amefaulu kwenye field aliyo omba kwa kiwango cha B+ au A, ila kwenye masomo mengine anaweza kuwa Haya maswali tunatakiwa kuwa uliza TCU na waziri, ni...
  8. Kaya Nogu Sabho Ndamu

    Tujadili nafasi na sheria za kuwa lecturer Tanzania

    Jamani naomba watu wajadili juu ya nafasi za kuwa lecturer vyuo vingi vya Tanzania. Kwanza mi naona kuna tatizo kubwa sana naomba Prof Ndalichako na TCU walifanyie kazi. Nafasi ya kuwa lecturer inataka mtu awe na GPA ya 3.8 au juu. Hata kama ana Ph.D. anatakiwa kuwa na GPA ya 3.8 ya...
  9. Kaya Nogu Sabho Ndamu

    TRA, Kodi zinaibiwa sana Kariakoo

    Leo ni mara ya tatu kununua vitu kariakoo na kupewa risiti ambayo haionyeshi makato ya TRA au VAT. Ukinunua kitu chochote unapewa risiti ila haina makato hata kidogo. Nilipo wauliza mbona haionyeshi makato ya serikali wakajibu eti mashine zao zimesamehewa mpaka mwaka ujao wa fedha ndio zitaanza...
  10. Kaya Nogu Sabho Ndamu

    BAJETI: Yaliyojiri, Uwasilishaji wa mapendekezo kuhusu makadirio ya mapato na matumizi 2017/18

    Umesema vyema sana. Mi nimefurahia sana bajeti hii kama kungekuwa na ruhusa wangepiga wimbo wa simba wa yuda anaunguluma bungeni ili wabunge wacheze na kumpongeza Raisi wetu. Kwa kweli miaka kumi ikiisha tubadilishe sheria Raisi awe anachukuwa miaka 20. Yaani term ya kwanza 10 na term ya pili...
  11. Kaya Nogu Sabho Ndamu

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Muhongo

    Kwa kweli Muhongo ni mchapa kazi, kama watu hawaamini watagundua si mda mlefu. Kwa maoni yangu wizara ya nishati na madini ni kumbwa sana igawanywe kwenye nishati na madini. Ni vizuri kuunganisha wizara kama michezo, mazingira, biashara, chukuzi. Sio nishati na madini.
  12. Kaya Nogu Sabho Ndamu

    Watangazaji wa E-Fm na mada zisizo na tija

    Kwa akili yako kila jambo lililoko kwenye jamii linatakiwa kuwekwa redioni???. Nahofia uelewa wako mzee. Si kila habari ni habari
  13. Kaya Nogu Sabho Ndamu

    Watangazaji wa E-Fm na mada zisizo na tija

    Hujitambui hilo ndio tatizo lako kubwa sana. Jambo hilo kama lipo tunaomba mtu aende field akafanye research ya namna hiyo harafu aje na data. Na akija na data kutoka kwenye tafiti aje na kukemea tabia hiyo, kwasababu haijengi. Siku zote Mh Raisi anasema wekeni mambo ya maana. Sasa ukisha jua...
  14. Kaya Nogu Sabho Ndamu

    Watangazaji wa E-Fm na mada zisizo na tija

    Umewasikiliza lakini wanavyo jadlli hilo jambo, wanatafuta na advantages za watu weupe na disadvantages za weusi. Huo ni ujinga bora waweke mambo ya maana tusikilize mfano waweke hata habari za mbuga za wanyama, faru jonh au faru ndugai kuliko kutuwekea ujinga huu redioni
  15. Kaya Nogu Sabho Ndamu

    Watangazaji wa E-Fm na mada zisizo na tija

    Hilo sio lengo kama wana lengo hilo approach yao ni hovyo ndio maana wanatakiwa kukaguliwa vyeti. Huwezi ukawa na lengo la kuondoa jambo harafu ukawa unalijadili kwa namna hiyo. Wamekosea sana approach. Kama wanataka kukomesha tabia hiyo wange mleta mtalaamu akaelimisha jamii na kukemea tabia hiyo.
Back
Top Bottom