GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,466
- 108,621
Nililetewa Tax demand notice ya kulipia road licence kwa magari niliyouza kama scrapper/spea miaka sita iliyopita (millioni tatu nililipa) kwakuwa nilikuwa a nahitaji Tax clearance certificate sikuwa na ujanja zaidi ya kulipwa japo nililalamika humu Jf pia niliandika barua TRA kulalamika haikusaidia.
Budget iliyosomwa jana.road licence imefutwa kwa enfluence ya wabunge/wafanyabiashara ambao ni victim (wahanga)kwenye hili.imepelekwa mpaka kwenje majenereta/mashine za kusaga/mitambo italipa kodi hii ya matumizi ya barabara baada ya kuongezwa kwenye mafuta.
Naomba serikali sikivu kwa wahanga wenye vielelezo waliolipishwa hii regressive Tax watu rejeshee hela zetu kwakuwa wenzetu.wamesamehewa.
karibuni
Ndiyo taabu ya Waswahili umeshapewa lifti halafu bado tena unataka upige na honi.