Sina hakika kama waliokua wakiruhusu mambo hayo kufanyika walimaanisha kuwanyamazisha wazanzibar. Hata ivyo tulipofikia sasa ni matokeo ya kutofanya yaliyo sahihi juu ya muungano wetu kwa kipindi chote kilichopika.. Nina imani sisi kwa pamoja WATANZANIA(sipendi kutumia watanganyika na wazanzibar...
Haya maneno si marahisi..ya Lema ni haya tumesikia..yawezekana kuna mambo mazito ndani yake au yaweza kuwa hakuna..ushauri wangu...."kila mmoja wetu anao wajibu wa kufanya kila lililo-ndani ya uwezo wake kuifanya Tanzania yetu mahali pazuri pa-kuishi" haijalishi unashirikiana na kina nani au we...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.