Huyu waziri mbona anatuchanya sasa!! Si walisema hati zitakuwa za kie
Huyu Waziri anatuchanganya sasa!! Si walisema hati zitakuwa ni za kielektoroniki..
Na kama hati ni ya kielekitoriniki na uhakiki wake ni wa kielekitoroniki.
Sasa hilo karatasi kuwekea Lamination lina athari gani na...
Miaka 7 iliyopita nilinunua kiwanja cha SQm 400 hivi maeneo ya Sahwa.
Kutokana na uwezo wangu mdogo tukashauriana na wife tujenge nyumba ndogo kwanza ya vyumba viwili na sebule baadaye tukitulia ndio tujenge nyumba ya nafasi.
Kweli nilifanikiwa kujenga nyumba ndogo na nikaunga umeme pia na...
Mtoa post una roho mbaya kama mamba. Kama nyinyi wenye roho mbaya mukipewa nchi kuongoza lazima nchi itakuwa masikini yenye dhiki. Nchi zote zenye uchumi nzuri sababu ni wageni ndio uchumi wao ukanawiri.
Pia huoni aibu kusema uongo. Mfanyabiasha huwa hahamishi pesa zake kupeleka nje ya nchi...
Kwa uchunguzi wangu wa haraka haraka nimegungua hilo.
Mchele au wali na ngano huwa vinatumika sana maeneo yenye Waislam wengi. Kwa Afrika, Kaskazini mwa Afrika mchele na Ngano huwa vinaliwa sana eneo hilo. Eneo la Kaskazini lina Waislam wengi. Ukija kusini mwa Equator kuna Wakristo wengi, Eneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.