Aisee katibu mkuu aliongea mpaka povu linamtoka pale mwembe yanga kuwa jamaa hafai hafai kabisaaa, mwenyekiti akasema angeweza hata kumchoma moto maana hafai kabisa kuishi huyo jamaa..tukamuamini tukawa wafuasi wao..leo mwenyekiti anasimama anasema jamaa anafaa sana maana ana wafuasi wengi mno...
mi nafikiri tukiweza kupata clear definition ya earth and heaven itatusaidia kuelewa kwa undani contents zilizomo kwenye hivyo vitu viwili..mwenye clear definition ya dunia na peponi atujuze..based on spiritual and science.
salaam member wote wa JF,
swali ni hili naomba kujua kuhusu lile tukio la mlipuko wa Arusha, liliishaje?
maana kuna watu walipoteza maisha. na viongozi wa CDM walisema wana ushahidi wa video unaonyesha wahusika.
sasa nashangaa hii ishu kuwa kimya utafikiri hakuna kilichotokea, mimi huwa...
Kama yasemwayo ni kweli basi mama Zipora nakupa pole..ila nakuomba uongeze mapambano tu huko wizarani usirudishwe nyuma..kwa mwenendo huu sipati picha hii nchi ikichukuliwa na Mzee wa kugawa noti..marafiki zake na wafadhiri watahamia ikulu..mzee wa kyela sijui atamuhamishia wapi!!!
Aisee hili ni janga la taifa..yameshawahi nikuta hayo..nilikuwa na matatizo ya macho nikashauriwa niende hospitali ya mnazi mmoja.
nilifika mpaka pale..nikawakuta waaguzi wawili mmoja wa kike na mwingine wa kiume..yule wa kike akanichukua na kuanza kunipa macho kwa lile tendo la kuziba jicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.