Recent content by KAUCHEZEA

  1. K

    Waombaji ajira za Ualimu waitwa Usaili

    Walimu tusiwe na hofu Mwenyezi Mungu atatusimamia.Kinachotakiwa ni kujiamini TU na kumwomba Mungu.Wanaofanyisha interview ni watu kama sisi,hivyo tuondoe hofu.
  2. K

    DOKEZO Walimu waangaliwe suala la interview Yao 2024 ukweli inaleta sintofahamu kwao, Ajira Portal wanachelewa mno

    Kuweni na subra,mambo mazuri hayahitaji haraka .Mkeka utatoka muda sio mrefu.
  3. K

    Natafuta kazi ya uhasibu au kazi yoyote ndani ya mji Tunduma au mkoaa wa Songwe

    Asante mkuu kweli nimepuyanga ila ongera wewe Msomi
  4. K

    Natafuta kazi ya uhasibu au kazi yoyote ndani ya mji Tunduma au mkoaa wa Songwe

    Unapaswa kwanza kujua mhasibu ni nani? Hapo Kuna Diploma ya Accountancy na Degree ya education in Commerce and Accountancy.Husichukulie TU neno Education TU hata Mwalimu naye ni Mhasibu Bro
  5. K

    Natafuta kazi ya uhasibu au kazi yoyote ndani ya mji Tunduma au mkoaa wa Songwe

    Habari Wana JamiiForums Mimi ni mkazi wa Dar es salaam ila kwa Sasa naishi Tunduma. Natafuta KAZI YOYOTE katika taasisi binafsi mfano shule,kampuni ya mabasi,clearing & forwarding company na hata Usimamizi wa biashara.Elimu yangu ni UHASIBU yaani Nina Bachelor of education in Commerce and...
  6. K

    Serikali inapaswa kuwaajiri moja kwa moja wafanyakazi wa mkataba ndani ya Halmashauri zetu

    Waziri wetu wa Tamisemi, kweli kuna tatizo la ajira sana nchini kwetu.Hivyo kupelekea vijana wengi kukosa ajira na kuingia kwenye shughuli ambazo sio rasmi kwao. Tunaimani sana na Serikali yetu sikivu. Zipo taasisi nyingi au Kada nyingi za Serikali hazina rasilimali watu hasa Halmashauri zetu...
  7. K

    Waziri wa Tamisemi toeni vibali vya kuajiri kwa waliojitolea kwenye ajira za mikataba ndani ya Halmashauri

    Mh. Waziri wetu,tunaomba muliangalie hili kwa jicho la kipekee,Vijana wamekubali kulitumikia Taifa Lao kwa uzalendo wa hali ya juu.Vijana kila mwaka wanapata ajira za mikataba,hii inaonyesha Kuna uhaba wa wafanyakazi ndani ya Halmashauri zetu. Hivyo Kuna vijana wengi wanapewa ajira za mikataba...
  8. K

    Ajira za Ualimu: Je, Masomo ya biashara hayafundishwi mashuleni?

    Ajira za Ualimu zimetangazwa na Vijana wengi wameanza kuchangamkia Ajira ili waende kulitumikia Taifa na kuendeleza taaluma zao, lakini Walimu waliopewa kipaumbele ni Walimu wa Sayansi, Hesabu na Mengine Kidogo. Ila Walimu wa Masomo ya biashara yaani Book Keeping na Commerce wametengwa kabisa...
  9. K

    Walimu wapya 6000 kuajiriwa ifikapo Juni, kuanza na waliojitolea kwanza

    Hapo sasa ndo tunapokosea,zamani walikuwa wanatoa post moja kwa moja, kwa sasa kila field ya serikali walimu wapo wanajitolea mfano kwenye majeshi wapo na hata Halmashauri nyingi walimu wapo wanakusanya mapato na kupewa posho tu kuendeshea maisha yao; je walimu hawa hawatapata ajira?
  10. K

    Kama ningepata bahati ya kumshauri Rais Dkt. Mwinyi ningemshauri haya

    Ushauri wangu kwako Rais wangu Dkt. Mwinyi. 1. Kupitia kampuni zote za tour operator na mikataba ya wafanyakazi wa ndani Bara na Visiwani. 2. Kulipwa fidia kwa wafanyakazi waliotimuliwa kazi bila utaratibu wa kisheria wkt wakiwa ndani ya mikataba. 3. Kutokupewa vibali kwa wafanyakazi wageni...
  11. K

    Waziri Jafo, tafadhali angazia vijana wanaofanya kazi ya kukusanya ushuru kwenye Halmashauri

    Kwanza nitoe pongezi zangu za dhati kwako kwa ufanyaji kazi wako uliotukuka. Jafo naomba upatapo ujumbe huu ufanyie kazi; sio nakulazimisha mzee wangu hapana ni sehemu ya uzalendo wa vijana wako waliokuwa chini ya Halmashauri mbali mbali. Waziri, vijana wengi wameajiriwa ndani ya Halmashauri...
  12. K

    Likizo bila malipo. Je, sheria inaelekeza nini?

    Hivi sheria inatuongoza vipi katika upande Wa likizo bila malipo. kwani kampuni za tours pamoja na mahoteli upande Wa Zanzibar utoa likizo bila malipo kwa miezi 2 kwa kisingizio cha Corona. Wafanyakazi wengi hawafahamu sheria je inaelekeza nini kuhusu likizo bila malipo na serikali inaweza...
  13. K

    Bodi ya mikopo huu ni wizi au utapeli?

    kwa wale waliokosa mkopo kwa maneno haya ya kibaguzi yaliyotolewa na Bodi ya mikopo...COMPLETED F6 / DIPLOMA MORE THAN 3 YEARS AGO...maswali kwa Bodi kama ifuatavyo:- (1) kwa nini hamkuweka kwenye vigezo na masharti kwa wanafunzi hawa kabla hawajaomba mkopo? (2) je pesa zao sh 30000...
Back
Top Bottom