Sio tu na kmc ilitakiwa tu baada ya mechi ya namungo na Simba alitakiwa acheze na Azam ...ikapelekwa tarehe 1 , baba yenu mlezi wa tff akaona aibu IPO pale pale akairusha Tena Hadi tarehe 13 janwary
Ni kweli , alitakiwa aulizwe FBI ni nini kwa wale ambao ndo kwanza wamesikia kwa Mara ya kwanza,..inahusika na nini , kwa nini anaihusisha. Hawa waandishi wetu wanatakiwa wakomae KIAKILI sio wakomae sura tu.
Huyu musiba toka nianze kumsikia huwa najiuliza ,...kote huko alikowahi kuajiliwa alifanyiwa usaili kweli !!!!. Nasikia anakampuni yake ,kwa akili hizi sijui wafanyakazi wake watakuwa kwenye khali gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.